Analinda Mali ..wajomba waje wahalali
We mtoto unavyonipenda....???
Hapo nimekusoma, kwan wewe shabiki wa sima au young?
Huyo ni kaka yangu, ila kwakuwa nakuheshimu bora tu nisema. kuwa makini na huyo kaka yangau ni mtata sana. muheshimu Arushaone
Hapo kwenu mnahifadhi ya watu wa aina hiyo? kuna jamaa hapa kitaa ana tabu kama hiyo? shemeji hajambo lakini
shemejio bukheri kabisa
si unajua mfuliaji ni shemeji yangu?
so ndugu yke kaona tuishi nae tu!!
Ukiweka post JF na UKATAJATAJA MAJINA ya members basi ujue UTAPATA "LIKES" na "REPLIES" kibao. Wngine walishakufa ila wanatajwa tu!
Ni kama nyimbo tu za KIBONGO kutajataja majina!
Karibu aisee
Unataka kuniambia ukifanya hivyo kisha unaware mention kazi inakuwa kwao?Ukiweka post JF na UKATAJATAJA MAJINA ya members basi ujue UTAPATA "LIKES" na "REPLIES" kibao. Wngine walishakufa ila wanatajwa tu!
Ni kama nyimbo tu za KIBONGO kutajataja majina!