Hatimaye @Bishanga afulia live live!

Hatimaye @Bishanga afulia live live!

Unacheka nyumba ya jirani kwa kuungua wakati ya kwako umeezeka kwa nyasi?
 
Unacheka nyumba ya jirani kwa kuungua wakati ya kwako umeezeka kwa nyasi?

Alokuambia mie Mhaya nani?


Bishanga kafulia sababi ya kupenda vifanyio sasa mi matumizi yangu ni kwa Chocs tu
 
Last edited by a moderator:
kaka umefika mbali sana huko nilipigwa ngumi ya utosi umeona hapo juu
utosini nilivyobonyea utadhani nimewekewa gesi
Ooooh nikajua ni kile kipigo chetu maana nacho huwa ni kikali ndo maana kelele haziishagi lol
 

Attachments

  • IMG-20131117-WA0035.jpg
    IMG-20131117-WA0035.jpg
    18 KB · Views: 29
Sijawahi kuona Bishanga kufulia hadi kukosa pesa ya bundle...!
Alijifanya bepali la kihaya kujitwika JF Tanzanite Member kumbe pesa ni za mkewe The secretary , wamegombana mke kabana mfuko jamaa kwishney! No Bishanga mapesa tena dadadeeeeki!
Unapewa lift unataka kupiga na honi eboooo! Mjini hapa look very Bishanga

Najitolea kumpa bundle na kumburudisha mkewe wakati huu wa mpito ili walau nikae na mwanangu nilozaa na the secratary !


Copy kwa Chocs Arushaone Mr Rocky watu8 Mamndenyi snowhite Mzee kiwatengu shansarie Avemaria DEMBA Kaizer mwallu Tonykp Filipo sosoliso Paloma amu KakaKiiza Mentor TANMO measkron ladyfurahia Lady doctor Heaven on Earth marejesho sweetlady Arabela Mwanyasi KOKUTONA Dena Amsi stevoh Slave Evelyn Salt Smile Dark City mimi49 charminglady beibe nasty Judgement YNNAH SnowBall Husninyo Kongosho BAK 24hrs Passion Lady Ruttashobolwa Madame B Baba V Mtoto halali na hela LiverpoolFC tinna cute King'asti

Acha hizo mkuuhakuna kufulia bepari la kihaya unamuonea my brother wangu???!! Bishanga!
 
Last edited by a moderator:
sasa kaka hapa ni mpira wa YANGA na SIMBA unachezwa au ndo style gani ya mpira huu wa kutwangana kwa kukabana hivi :busu
Ooooh nikajua ni kile kipigo chetu maana nacho huwa ni kikali ndo maana kelele haziishagi lol
 
Yaani kafulia hadi huruma, hana hata ndala za bata. Mkewe the secretary anakufa njaa hapa mjini.

We siyo mkwewe? au unakuwaga wake akiwa nazo tu?
Bishanga pole sana. njoo kusini nikupe mtaji wa korosho..
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom