Alikupiga kwa kutumia nini?
Kifanyio au hahahaaa
kidding
Sijawahi kuona Bishanga kufulia hadi kukosa pesa ya bundle...!
Alijifanya bepali la kihaya kujitwika JF Tanzanite Member kumbe pesa ni za mkewe The secretary , wamegombana mke kabana mfuko jamaa kwishney! No Bishanga mapesa tena dadadeeeeki!
Unapewa lift unataka kupiga na honi eboooo! Mjini hapa look very Bishanga
Najitolea kumpa bundle na kumburudisha mkewe wakati huu wa mpito ili walau nikae na mwanangu nilozaa na the secratary !
Copy kwa Chocs Arushaone Mr Rocky watu8 Mamndenyi snowhite Mzee kiwatengu shansarie Avemaria DEMBA Kaizer mwallu Tonykp Filipo sosoliso Paloma amu KakaKiiza Mentor TANMO measkron ladyfurahia Lady doctor Heaven on Earth marejesho sweetlady Arabela Mwanyasi KOKUTONA Dena Amsi stevoh Slave Evelyn Salt Smile Dark City mimi49 charminglady beibe nasty Judgement YNNAH SnowBall Husninyo Kongosho BAK 24hrs Passion Lady Ruttashobolwa Madame B Baba V Mtoto halali na hela LiverpoolFC tinna cute King'asti
ukumbuki kuwa wewe ndo ulimuuzia kagari haka
wakati umenunua vi...r.....o...s....a umesahau nini?
Hiyohiyo...kaiuza sasa!!!
Sister huyo jamaa hakawii kuku Bishanga angalia sana aisee
Alikupiga kwa kutumia nini?
Kifanyio au hahahaaa
kidding
kweli amekuwa apechealolo
basi muuzie kale vitz kako
ili angalau atambe nako
Uwiii...nyie watu
Hata vitz alitaka nimuuzie kwa mkopo!
Ooooh nikajua ni kile kipigo chetu maana nacho huwa ni kikali ndo maana kelele haziishagi lol
wewe humujui kaka yangu alivyokuwa na matatizo
achana naye huyu nimeshamzoea mm kwani ana
visa utafikiri ndiye anayenimiliki
wivu unamsumbua tu hata kwa sistazake