Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Ulikuwa huamini, subiri makubwa ya Zanzibar hutaamini masikio yako.nimeamini ccm-m4k(movement for killing.)
Ulikuwa huamini, subiri makubwa ya Zanzibar hutaamini masikio yako.nimeamini ccm-m4k(movement for killing.)
Pongezi kwa jeshi letu la polisi kwa kufanya kazi yenu kwa umakini mkubwa na kumkamata mtuhumiwa.
Hawa ndio viongozi vijana wanaotegemewa CCM.
Mhe Tundu Lissu, Marehemu Mbwambo wa AruMeru Mashariki, Ismail wa Arusha, na yule ndugu yetu mkazi wa Mburahari aliyechinjwa Igunga, Mwenyekiti wa CUF Kibaha pamoja na wananchi kibao waliopoteza maisha mikononi mwa Jeshi la Nape na Mwigulu Nchemba na maelekezo ya wakubwa wake, roho hizi zinalilia HAKI NA KUTETEWA NA CHADEMA leo hii na wala si kesho.
kWELI nIMEGUNDUA UKITAKA KUMTAWALA MTU MUOMBEE NJAA!!
hIVI mWIGULU HAJASHIRIKI MAANA YEYE AMEOGOZA KAMAPENI MBILI ZOTE ZA MAUJI KULE IGUNGA NA A.MASHARIKI.kule jimboni kwake kikiji cha Ulemo aliweka kambi ya vijana ya ccm kama makamanda ,ndio matokeo yake.Je au ndio makamandoo wa Mukama aliojidai kudanganya umma kuwa cdm imeleta makamandoo kutoka pakistani,Libya na Afghan ili kuficha ulimwengu.CCM ni zaidi ya chama cha Nazi enzi ya Hitler dhidi ya Wayahudi.Tusikipe ushirikiano wa aina yoyote
Mkuu T.2015.CDM Ahsante kwa taarifa na baada ya kumleta muuaji je mwenyekiti pia alikamatwa????MTUHUMIWA HUYO ALMAARUFU KWA JINA LA (CHEWAJA)ALIKUWA NI MPANGAJI KATIKA NYUMBA YA MAREHEMUNI (waliishiwote myumba moja) NI MZALIWA WA SINGIDA,MKAZI WA ARUMERU MASHARIKI,AMEKAMATWA DODOMA AKIWA KWA MGANGA WA KIENYEJI,AWATAJA ALIOSHIRIKIANA NAO KATIKA MAUAJI HAYO MMOJA WAPO NI KADA WA CCM NA PIA NI MWANYEKITI WA KIJIJI,VILIO VILITAWALA BAADA YA MTUHUMIWA HUYO KURUDISHWA KIJIJINI CHINI YA ULINZI MKALI WA JESHI LA POLISI KUONYESHA OLIKOFICHA VIFAA VYA MAUAJI WANANCHI WAPANDWA NA HASIRA WATAKA KUMUUA ASKARI WAZUIA,SILAHA ZAKUTWA SHAMBANI KWA MWENYEKITI ZIKIWA ZIMEFUKIWA CHINI AMBAPO BAADA YA KUFUKUA WALIKUTA BUNDUKI MBILI,KISU PANGA,NA MASHINE YA KUKATIA MITI ILIYO TUMIKA KUMCHINJIA MAREHEMU ALIFANYA MAUAJI HAYO KWA UJIRA WA SHILINGI ZA KITANZANIA MILIONI MBILI(SH.2.000,000/=)YASEMEKANA HATA UKO SINGIDA ALIKIMBIA KESI YA MAUAJI.
source:MIMI MWENYEWE LIVE KUTOKA KATIKA TUKIO.
Kweli wewe ni Zoba kila siku unatetea upumbafu.Haihusiani na siasa, alikuwa mpangaji wake.
Sasa nategemea mahakama zetu zitatenda haki kwa kumuadhibu haraka sana huyu muuaji ...kwa kumnyongelea mbali ...kama walivyofanya kwenye kesi za wauaji wa albino....ili iwe fundisho kwa wengine....maana tayari kuna vithibitisho....nategemea polisi watahakikisha ukweli wa vifaa alivyotumia kuua fasta(kwa kupima DNA)...na ikithibitika wala hamna haja ya kuchelewesha kesi...pia nategemea polisi watamkamua kode zake ipasavyo ili awataje kwanza waliomtuma kuua...ili wooote wawekwe kwenye kesi moja ya kuua....ni kwa kufanya hivyo tu tutaamini haki imetendeka....kwanza kwa polisi...na pia kwa mahakama kumuua huyu jambazi.........MTUHUMIWA HUYO ALMAARUFU KWA JINA LA (CHEWAJA)ALIKUWA NI MPANGAJI KATIKA NYUMBA YA MAREHEMUNI (waliishiwote myumba moja) NI MZALIWA WA SINGIDA,MKAZI WA ARUMERU MASHARIKI,AMEKAMATWA DODOMA AKIWA KWA MGANGA WA KIENYEJI,AWATAJA ALIOSHIRIKIANA NAO KATIKA MAUAJI HAYO MMOJA WAPO NI KADA WA CCM NA PIA NI MWANYEKITI WA KIJIJI,VILIO VILITAWALA BAADA YA MTUHUMIWA HUYO KURUDISHWA KIJIJINI CHINI YA ULINZI MKALI WA JESHI LA POLISI KUONYESHA OLIKOFICHA VIFAA VYA MAUAJI WANANCHI WAPANDWA NA HASIRA WATAKA KUMUUA ASKARI WAZUIA,SILAHA ZAKUTWA SHAMBANI KWA MWENYEKITI ZIKIWA ZIMEFUKIWA CHINI AMBAPO BAADA YA KUFUKUA WALIKUTA BUNDUKI MBILI,KISU PANGA,NA MASHINE YA KUKATIA MITI ILIYO TUMIKA KUMCHINJIA MAREHEMU ALIFANYA MAUAJI HAYO KWA UJIRA WA SHILINGI ZA KITANZANIA MILIONI MBILI(SH.2.000,000/=)YASEMEKANA HATA UKO SINGIDA ALIKIMBIA KESI YA MAUAJI.
source:MIMI MWENYEWE LIVE KUTOKA KATIKA TUKIO.
Pongezi kwa Jeshi la Polisi. Sasa ingieni kwa undani kujua driving force ilitokana na nini, fukua fukua ili kila mtu apate haki yake kulingana na matendo yake. Kila la heri polisi wetu.
mtuhumiwa huyo almaarufu kwa jina la (chewaja)alikuwa ni mpangaji katika nyumba ya marehemuni (waliishiwote myumba moja) ni mzaliwa wa singida,mkazi wa arumeru mashariki,amekamatwa dodoma akiwa kwa mganga wa kienyeji,awataja alioshirikiana nao katika mauaji hayo mmoja wapo ni kada wa ccm na pia ni mwanyekiti wa kijiji,vilio vilitawala baada ya mtuhumiwa huyo kurudishwa kijijini chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi kuonyesha olikoficha vifaa vya mauaji wananchi wapandwa na hasira wataka kumuua askari wazuia,silaha zakutwa shambani kwa mwenyekiti zikiwa zimefukiwa chini ambapo baada ya kufukua walikuta bunduki mbili,kisu panga,na mashine ya kukatia miti iliyo tumika kumchinjia marehemu alifanya mauaji hayo kwa ujira wa shilingi za kitanzania milioni mbili(sh.2.000,000/=)yasemekana hata uko singida alikimbia kesi ya mauaji.
Source:mimi mwenyewe live kutoka katika tukio.