uko singida alimuua mwanachadema?
au alitumwa na mwana ccm?
binadamu tuna mambo mengi ya siri na ya fedheha
kikubwa dont link mauaji haya na siasa, ndio tunharibu
poleni sana wafiwa, too sad kuuana namna hii...he should be hanged...hang him
Mbona kama kuna kitu unakitetea, au ndio umefulahi nini? Kule Singida si ndio anakotoka Savimbi? sasa unahoji nini.