Hatimaye akili imeanza kuwaingia HAMAS maana sikuwa nawaelewa kwenye kuachia mateka kisha kichapo kinarudi baada ya wiki

Hao ni wakimbizi wanaotanga tanga tu duniani. Hitler alipotaka kuwafuta wakasaidiwa na US na washirika wake wakaona Palestina ndio pakuenda kuleta vurugu.

Siku Palestina ikipata Hitler wake watakimbilia tena East Africa na ku claim kuwa ndio chimbuko la mababu zao maana ushahidi wa kisayansi unathibitisha kuwa binadamu wa kwanza aliishi East Africa.

Pathetic morons.

Acha uzwazwa wewe. Huko Congo walitamka lini?
Nilidhani una hoja ya msingi kumbe ni kupuyanga tu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Yaani watu wenu wameuawa takriban 20,000 huku majengo yenu yameporomoshwa mumebaki kama mji wa mazombi, mnaachia mateka almradi kupata afueni kwa wiki moja, kiasha mnaendelea kupigwa na kuuawa, niliuliza hili swali humu na kama kawaida magaidi ya humu yote yakasema HAMAS wana akili na wanajua wanachokilenga....yaani kuna dini inakufanya zombi hata akilini.

Hatimaye hao hao HAMAS wametia akili na kugoma suala la kuachia mateka eti halafu baadaye wanaendelea kupigwa, kama vipi wameomba aidha Israel iache vita kabisa....
=================

Senior Hamas official Ghazi Hamad tells Qatari broadcaster Al Jazeera that the terror group is not interested in releasing hostages just to get pummeled by Israel afterward, and appears to confirm the organization’s interest in reconciling with rival Fatah on Gaza’s postwar future, though it may not be mutual.

Hamad says a permanent ceasefire is the group’s “priority.”

“Israel will take the card of the hostages and after that they will start a new round of mass killing and massacres against our people,” he is quoted saying. “We will not play this game.”


1. Nilipanga kukupuuza ndugu lakini nadhani sitakuwa nimekutendea haki:

IMG_20231221_202015.jpg


IMG_20231221_202107.jpg


2. Kwamba Israel walipo kimeumana ila Rabbi wewe wa madongo kuinama unakenua kuwa umeshinda?

3. Ujinga mzigo; Kumbe hukuelewa kwa nini HAMAS alishiriki truce #1 terms zile?

4. Kumbe ulidhani terms zile zilikuwa za Israel?

5. Kwa Taarifa yako ile ilikuwa kumwonjesha asali.

6. Wanasema chovya chovya humaliza buyu la asali sasa kakikwaa kisiki cha mpingo!

7. Kwamba karuka maji katumbukia kwenye moto; halafu majinga mnakenua?

8. Serious set back (wajameni, Proved, na wapenda haki wengine) mburula anashangilia; anajielewa huyo?

9. Bure kabisa!
 
Israel ni magaidi waliotukuka. Occupiers wanaolazimisha kukalia nchi ya watu.

Ni watu wanaotakiwa kulaaniwa kwa nguvu kubwa sana hao wayahudi. Ipo siku watafutwa kwenye hiyo ardhi na waPalestina kubaki na amani waliyokuwa nayo katika ardhi yao kabla ya uvamizi wa hao wakimbizi.
Sasa mnasubiri nini kupiga Albadil. Wewe uko buza unalalamika tu wenzako wanakufa. Wewe tulia
 
Israel ni magaidi waliotukuka. Occupiers wanaolazimisha kukalia nchi ya watu.

Ni watu wanaotakiwa kulaaniwa kwa nguvu kubwa sana hao wayahudi. Ipo siku watafutwa kwenye hiyo ardhi na waPalestina kubaki na amani waliyokuwa nayo katika ardhi yao kabla ya uvamizi wa hao wakimbizi.
Pole sana. Nasikitika kukufahamisha kwamba,Hiyo laana itakurudia mwenyewe. Na kuhusu Israel kufutwa, hilo sahau kabisa. Halitakuja kutokea kamwe. Hiyo ardhi ya Palestina ni Mungu mwenyewe aliwapatia waimiliki. Wewe ni nani upingane na mpango wa Mungu? Wapalestina wawe wapole tu. Wakubali kuishi na Wayahudi. Wasiwachokoze na kuwafanyia fujo. Siku zote uchokozi wao kwa Israel huwasababishia hasara kubwa.
 
Pole sana. Nasikitika kukufahamisha kwamba,Hiyo laana itakurudia mwenyewe. Na kuhusu Israel kufutwa, hilo sahau kabisa. Halitakuja kutokea kamwe. Hiyo ardhi ya Palestina ni Mungu mwenyewe aliwapatia waimiliki. Wewe ni nani upingane na mpango wa Mungu? Wapalestina wawe wapole tu. Wakubali kuishi na Wayahudi. Wasiwachokoze na kuwafanyia fujo. Siku zote uchokozi wao kwa Israel huwasababishia hasara kubwa.
Unamjua Mungu wewe?
 
1. Nilipanga kukupuuza ndugu lakini nadhani sitakuwa nimekutendea haki:

View attachment 2849249

View attachment 2849250

2. Kwamba Israel walipo kimeumana ila Rabbi wewe w madongo kuinama unakenua kuwa umeshinda?

3. Ujinga mzigo Kumbe hukuelewa kwa nini HAMAS alishiriki truce #1 terms zile?

4. Kumbe ulidhani terms zile zilikuwa za Israel?

5. Kwa Taarifa yako ile ilikuwa kumwonjesha asali.

6. Wanasema chovya chovya humaliza buyu la asali sasa kakikwaa kisiki cha mpingo!

7. Kwamba karuka maji katumbukia kwenye moto majinga mnakenua.

8. Serious set back Proved mburula anashangilia, anajielewa huyo?

9. Bure kabisa!

Hizi nadharia nilikuambia hazisaidii kitu, sasa hivi HAMAS wanaomba Israel iache vita ili waachie mateka, Gaza imegeuzwa shamba, Israel nao wamesema bad watapiga tu

3257805170761984946-jpg-png.2843958
 
Kwakua upkwenye slums hapo nairobbery (kibera slums) hata akili yako isipokuwa sawa siwezi kukushangaa

Inauma ila ndio ukweli, halafu imeandikwa kwenye kitabu chenu, wala sijasema mimi MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
 
Hizi nadharia nilikuambia hazisaidii kitu, sasa hivi HAMAS wanaomba Israel iache vita ili waachie mateka, Gaza imegeuzwa shamba, Israel nao wamesema bad watapiga tu

3257805170761984946-jpg-png.2843958

1. Kwani anayeomba mazungumzo nani?

2. Hiyo serious set back Kumbe ni ya kusimamisha mapigano?

IMG_20231221_202015.jpg


3. Kumbe nani yuko kwenye very difficulty position?

4. Punguza mahaba mshindo, uta mimbwa!
 
Pole sana. Nasikitika kukufahamisha kwamba,Hiyo laana itakurudia mwenyewe. Na kuhusu Israel kufutwa, hilo sahau kabisa. Halitakuja kutokea kamwe. Hiyo ardhi ya Palestina ni Mungu mwenyewe aliwapatia waimiliki. Wewe ni nani upingane na mpango wa Mungu? Wapalestina wawe wapole tu. Wakubali kuishi na Wayahudi. Wasiwachokoze na kuwafanyia fujo. Siku zote uchokozi wao kwa Israel huwasababishia hasara kubwa.

1. Mkuu kwani nani hataki kuishi na mwenzake?

IMG_20231218_005354.jpg


2. Maneno hayo yana maana yote kwako?
 
Back
Top Bottom