Hizo ni fly over roads au vibarabara vya waenda kwa miguu vilivyojengwa juu ya barabara kuu?Hivi unaota ndoto au unapiga ungana???? Kuna flyover manzese, kimara nk. In short hakuna kisichowezekana ilimradi kuna will, dedicated leaders and resources.
Step 3 and 4 haihitajiwa hapo ambapo inajengwa. Kila design inategemea na volume of vehicles, hawajengi kwa sababu ya kuwafurahisha majirani au nchi flani wanajenga kwa sababu ya kuondoa tatizo lililopo. BTW hilo sio daraja ... are you a highway engineer?
Sera zenu za kupinga kila kitu watz walishazikataa, mkiendekea hivi mtabaki wasindikizaji kila uchaguziDaraja la kigamboni mpaka sasa ni maigizo elimu bure viwada teh teh teh
Si umeandika nn...!!?? Achana na mawazo mgando unafikiria leo tu na kusahau kesho!!! We unadhani population imeganda aiongezeki!? We unadhani watu washamaliza kununua magari!? So unataka kunambia tuendelee kufanya cijimiradi vidogo vidogo then next time tunarudi hapo hapo na kuanza kusumbua tena wananchi na investment zao just becauss tutahitaji kuupgrade hizo steps...
My call is, tukifanya mradi tuufanye kwa mapana yake ili uendelee kuwa na manufaa hata miaka 100 mbele...
Sio leo tunajenga vijitu vidogo vidogo then kesho tunarudi hapo na kubomoa na kuanza kujenga kwa kuunga unga vijinew project
Umeangalia hiyo design na una data za kuonyesha ni ya magari mangapi yatasafiri per hour in each direction? Je unapojenga hiyo flyover unajenga tu iwe pana, au una-consider barabara ambayo itaendeleza huo mtiririko wa hayo magari? In terms of volume? Hebu niambie kuna lanes ngapi each direction ambazo wame design? Unapoongelea miaka 100 Dar itakuwa na underground trains za uhakika msongamano utatoka wapi? (I presume)
Bandari itakuwa Bagamoyo tayari. Ndio sababu nilikuuliza wewe ni Highway Engineer? Usikurupukie kazi za watu kama hufahamu uliza, hiyo picha ni kwenye forum kama unafikiri huo mradi haufai utakuwa na matatizo sugu ambayo siwezi kukusaidia.
Haya mtaalamu kikinuka hapo baadaye usikawie kuleta feedback...coz nyie mnajifanya hizi ndio taaluma zenu and still mnajenga majengo mbomoko ua siwaelewi kabisa pale inapotokea mmeboronga kwa porojo kama hizi hapa
tutolee upuuzi wako hapa.Flyovers?za nondo na cement au za ndotoni?
Acha kudanganya watu tazara ndio njia yangu kila sikuKamanda unaishi wapi Mwika au Longido? Ujenzi wa Flyovers tayari umeishaanza.
Njia yako ya kwenda wapi? Kwani wewe unachopinga nini kuwa ni uhongo hawajengi flyover?Acha kudanganya watu tazara ndio njia yangu kila siku
Kamanda tunasubiri Chadema wakichukuwa dola watajenga flyovers mbili kubwa moja kutoka Tengeru mpaka mtaa wa Ufipa Kinondoni na ingine kutoka Moshi Mjini mpaka Kimara.kwann wasijenge flyover kutoka Msoga hadi JKN Airport??
You made my day.... yaani sina mbavu...... Eti kwenye maandamano ya CHADEMA. Mmhhh watu mna maneno huyu hawezi kurudi na akirudi lzm awakane wenzake waliokalilishwa kua mfumo ni mbovu badala ya kuelewa kua wkt mwingine hatuhitaji saaaanaaaa mfumo ila mtu....Mkuu unajifurahisha au ndiyo unatumia ile ibara ya upinzani kupinga hata kama ukweli mpaka dakika ya mwisho, daraja la Kigamboni lipo katika hatua za mwisho watanzania waanze kulitumia hata wewe unayepinga humu JF utalitumia ukienda Kigamboni kwenye maandamano ya Chadema.
Safi sana wajapani kwa kuanza kutekeleza ahadi zao... I am waiting for us to do the same, tena tukianza na wale waliokwepa kodi ambao hadi sasa hatujui nini kinaendelea pamoja na zile siku saba alizotoa Mh. Rais kupita siku nyingi mnooTumeanza na tazara,kabla ya 2020, flyovers zote jijini zitakuwa zimekwisha.