Hatimaye ahadi zaanza kutekelezwa

Hatimaye ahadi zaanza kutekelezwa

Mkuu nimepita Leo taza kuanzia polisi mpaka huku mbele bugurun sjaona hilo Bango la projection cjui limebandikwa wapi la kuruhusu huo ujenzi uanze Mara moja baada ya miaka rukuki kuwa kabatini
 
Kamanda tunasubiri Chadema wakichukuwa dola watajenga flyovers mbili kubwa moja kutoka Tengeru mpaka mtaa wa Ufipa Kinondoni na ingine kutoka Moshi Mjini mpaka Kimara.
Roho
Mbaya inakumaliza
 
Njia yako ya kwenda wapi? Kwani wewe unachopinga nini kuwa ni uhongo hawajengi flyover?
Acha uongo fulahi ova tangu isemwe mpaka sasa Hakuna mkandarasi site usitulazimishe tuamini unachosema hilo swala bado kama lipo litakuwepo lakini kwa sasa bado kama una sema ukweli tuma picha mkandarasi yupo site
 
Mkuu nimepita Leo taza kuanzia polisi mpaka huku mbele bugurun sjaona hilo Bango la projection cjui limebandikwa wapi la kuruhusu huo ujenzi uanze Mara moja baada ya miaka rukuki kuwa kabatini
Hakuna kitu bango watu wanadanganywa hapa
 
Umeangalia hiyo design na una data za kuonyesha ni ya magari mangapi yatasafiri per hour in each direction? Je unapojenga hiyo flyover unajenga tu iwe pana, au una-consider barabara ambayo itaendeleza huo mtiririko wa hayo magari? In terms of volume? Hebu niambie kuna lanes ngapi each direction ambazo wame design? Unapoongelea miaka 100 Dar itakuwa na underground trains za uhakika msongamano utatoka wapi? (I presume)

Bandari itakuwa Bagamoyo tayari. Ndio sababu nilikuuliza wewe ni Highway Engineer? Usikurupukie kazi za watu kama hufahamu uliza, hiyo picha ni kwenye forum kama unafikiri huo mradi haufai utakuwa na matatizo sugu ambayo siwezi kukusaidia.
Hivi kwanini unapenda kuweka maandish mekundu???
 
Kamanda kwa faida ya JF tutoe tongotongo ili iitwe flyovers inatakiwa ianzie umbali gani?

Makamanda wapo sio Mimi, kujenga hizo Flyovers ni uamuzi tu na mipango endelevu zinaweza kua mita 200 au hata km nyingi, mbona daraja la Kigamboni limejengwa lakini marais watatu walishindwa.
 
Nataka nikuumize macho, wewe unasemaje? Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Rangi zipo nyingi iweje uchague nyekundu kuandikia? Lol, utakuwa unatoa watu kafara si bure,
 
Hivi unaota ndoto au unapiga ungana???? Kuna flyover manzese, kimara nk. In short hakuna kisichowezekana ilimradi kuna will, dedicated leaders and resources.
Heee! Pale TAZARA mnajenga 'flyover' kama ya Manzese?
 
Naitazama hii flyover yenu then nacheka sana...maana ni kastep kamoja tu, kimsingi daraja fulani Amazing katainuliwa na kudondoshwa mahala fulani then watu mnato macho kweli oh Flyover flaiovaaaa! Je zingekuwa step 3 or 4 ?!
Kwa kweli ulimbukeni ni mzigo mzito sana.
 
Mkuu nimepita Leo taza kuanzia polisi mpaka huku mbele bugurun sjaona hilo Bango la projection cjui limebandikwa wapi la kuruhusu huo ujenzi uanze Mara moja baada ya miaka rukuki kuwa kabatini
Ukiwa unaenda tazara bango lipo Julia kwako angalia vizuri usiwe unalala lala ukiwa njiani.
 
Back
Top Bottom