Mkuu unajifurahisha au ndiyo unatumia ile ibara ya upinzani kupinga hata kama ukweli mpaka dakika ya mwisho, daraja la Kigamboni lipo katika hatua za mwisho watanzania waanze kulitumia hata wewe unayepinga humu JF utalitumia ukienda Kigamboni kwenye maandamano ya Chadema.Daraja la kigamboni mpaka sasa ni maigizo elimu bure viwada teh teh teh
Ni kweli ujenzi wa flyover umeanza kwa sababu tumeoneshwa ramani; yaani ni sawa na kununua ramani ya nyumba pale posta kisha ukajisifu kuwa umeanza ujenzi..... mbunyu....Kamanda unaishi wapi Mwika au Longido? Ujenzi wa Flyovers tayari umeishaanza.
Tulia unalilia mahakama ikiwa Jidudunizi lako ni JiziMillion 50 kila kijiji na ujenzi wa mahakama ya mafisadi na majizi ?
zozote zileFlyovers?za nondo na cement au za ndotoni?
Wengine hata mkoani wanapasikia ajabu kubishia ya CityKamanda unaishi wapi Mwika au Longido? Ujenzi wa Flyovers tayari umeishaanza.
subiri hiyo inakuja bunge likianza.Million 50 kila kijiji na ujenzi wa mahakama ya mafisadi na majizi ?
Hiyo ni flyover ya kwanza Tanzania, unataka iwe na mbwembwe nyingi za kazi gani?, Ridhika na kidogo ulichonacho usitake kuwa na kikubwa usicho na uwezo nacho. Be thankful sio unakosoa kila kitu, Roma haikujengwa ndani ya siku moja.Naitazama hii flyover yenu then nacheka sana...maana ni kastep kamoja tu, kimsingi daraja fulani Amazing katainuliwa na kudondoshwa mahala fulani then watu mnato macho kweli oh Flyover flaiovaaaa! Je zingekuwa step 3 or 4 ?!
kuna picha mkuu...jaribu kuiangalia kwa makini...Mkuu kama pale TAZARA patajengwa flyover, basi kiwanda cha Bakhresa upande mmoja na Azam TV upande mwingine pamoja na hospitali ya Dar Group vyote havitakiwi kuwepo
Hahahah kandamija kabisa mwanawaneMillion 50 kila kijiji na ujenzi wa mahakama ya mafisadi na majizi ?
Tukiondoa ushabiki wa ccm na ukawa utajua kuwa daraja la kigambon ilibidi likamilike june 2015 na hiyo ni baada ya kuongezewa muda na sasa ni 2016 bado tunaambiwa lipo kwenye hatua za mwisho. Kitu kibaya mlichoki observe ni kwamba siku izi kwenye vile vibao vinavyoonesha project ile part ya DURATION imeondolewa so kwa Tz mradi hata ukichukua 10yrs ni sawa tu coz no timeframe na hii inawezekana ipo kwenye LDCs pekee coz time kwetu is like nothing bt to others probably the most valuable assetMkuu unajifurahisha au ndiyo unatumia ile ibara ya upinzani kupinga hata kama ukweli mpaka dakika ya mwisho, daraja la Kigamboni lipo katika hatua za mwisho watanzania waanze kulitumia hata wewe unayepinga humu JF utalitumia ukienda Kigamboni kwenye maandamano ya Chadema.
Hivi katika Jiji la DSM upande gani ndio kuna msongamano wa magari megi au upande gani ndio Magari mengi huingia katikati ya mji na yanayoyokea mikoani? Huenda eneo hilo ndio lingepewa kipau mbele kwanza.
Tukiondoa ushabiki wa ccm na ukawa utajua kuwa daraja la kigambon ilibidi likamilike june 2015 na hiyo ni baada ya kuongezewa muda na sasa ni 2016 bado tunaambiwa lipo kwenye hatua za mwisho. Kitu kibaya mlichoki observe ni kwamba siku izi kwenye vile vibao vinavyoonesha project ile part ya DURATION imeondolewa so kwa Tz mradi hata ukichukua 10yrs ni sawa tu coz no timeframe na hii inawezekana ipo kwenye LDCs pekee coz time kwetu is like nothing bt to others probably the most valuable asset
Naitazama hii flyover yenu then nacheka sana...maana ni kastep kamoja tu, kimsingi daraja fulani Amazing katainuliwa na kudondoshwa mahala fulani then watu mnato macho kweli oh Flyover flaiovaaaa! Je zingekuwa step 3 or 4 ?!
Asante. So what we need is to be patient. Inawezekana tunaexpectations kubwa juu ya mambo tunayopenda kutendewa wakati kasi ya utendaji ni ndogo. Ila nijibu kwann sehemu ya DURATION imeondolewa ktk most of the gvt projectskwa statistics za shirika moja la ujenzi Uk by 2011, 70% ya goverment projects zimekua na construction delays. hata leo 2015 bado wako nyuma. ndo iwe Tanzania. miradi yetu mingi tegemezi.. kuisha kwa wakati sio rahisi.