MIMI NA TZ
Senior Member
- Apr 22, 2014
- 197
- 18
wamejitaidi ila kwa masajenti itabidi msubiri,hapa ni koplo na constebo tu.
hivi waliopata wanaenda moja kwa moja depo au usaili kwanza?
Msaada kwa mwenye gazette naomba anitazamie rashid mwika.
assistant inspectors wametoa nayo??
wamejitaidi ila kwa masajenti itabidi msubiri,hapa ni koplo na constebo tu.
WEKENI LINK tuchek wenyewe
aise mkuu cheki mkaguzi msaidizi kama wametoa majina.Hatimaye uhamiaji wameshindwa kuvumilia kukaa na majina ya vijana, wayatoa majina hayo leo. Tafuta gazeti la Mwananchi la leo 26 May, 2014 ili ucheki jina lako. Kila la kheri wandugu mlioitwa.
nafasi ya coplo
aise mkuu cheki mkaguzi msaidizi kama wametoa majina.