Hatimae uhamiaji yametimia

Hatimae uhamiaji yametimia

Ivi hawa jamaaa hawawataarifu kwenye simu wale waliowaita kwenye usaili?
 
Kama upo na gazeti naomba uniangalizie mdau jina ernest seiya, niliomba assistant inspector
 
Kama upo na gazeti naomba uniangalizie mdau jina ernest seiya, niliomba assistant inspector
 
Mtuwekee bas tuchek make huku kwetu magazet hayafik mtujuz wadau,nasi tuweze kucheki majina yetu
 
Nazani ni muda wa kuchakachua majina ya mkaguzi msaidizi duuu hapa ni kupiga dua tuu
 
DUH. Ebwana tupie majina humu jamani
 
Hatimaye uhamiaji wameshindwa kuvumilia kukaa na majina ya vijana, wayatoa majina hayo leo. Tafuta gazeti la Mwananchi la leo 26 May, 2014 ili ucheki jina lako. Kila la kheri wandugu mlioitwa.
asante mkuu kama ni ya kweli ngoja nikanunue gazeti sasa hivi
 
pitia gazeti la leo la mwananchi kwa majina ya walioitwa for interview
 
wengine hatuna uwezo wa kununa hat gazet...wenye uwezo mtuekee hayo majina!!!!
 
sorry mtendaji wa kaya nilikuwa sijaona admin wanaweza wakaiondoa
 
wengine hatuna uwezo wa kununa hat gazet...wenye uwezo mtuekee hayo majina!!!!

Siwezi kuweka majina yote jamvini kulingana na kifaa ninachotumia. Vinginevyo tuma private message taja jina lako, likiwepo ntakujulisha ingawa naweza chelewa kukujulisha coz kuna nalitumikia taifa kwa sasa.
 
Back
Top Bottom