Hatimae mzee kavuta 98m za kiinua mgongo

65+ strock nje nje
Vijana wa sasa bure kabisa unapenda vitu vya Bure kabisa .bure haina heshima hata Dada yako akichukuliwa bure hutapewa heshima.
 
Wakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
Muache baba yako na pesa zake...
 
Kuna kitu hakijakaa sawa, labda kama mzee wako alikuwa Jaji wa mahakama ya rufaa au Profesa daktari bingwa maana hao ndio wanastaafu na 65 yrs kwa mujibu wa sheria! Wengine wote ni 60yrs

Umesema mzee wako kastaafu mwaka huu na ana 65 yrs, je alighushi cheti au!? Maana watumishi wa zamani kabla vya kuanza kutolewa vyeti vya kuzaliwa around 1972 waliishi kwa viapo na walikuwa wanadanya umri balaa, maana msamiati wa kustaafu ulikuwa unawatisha sana.
Hapo umekariri mkuu,kuna idara kadha mtu anatikishaga hadi 70 kasoro kwa kuombwa,tena mara nyingi hua wanakataa.
Ukiniuliza nikuoe mfano sorry sitaweza,chunguza mwenyewe
 
Kama hajawahi kufanya biashara asijiingize kwenye biashara itaisha yoote!
Mwambie atoe walau mil 50 afungue fixed account benki, kila miezi mitatu hatakosa mil 3 faida( inamtosha kbs kuishi bila stress) inayobaki mil 40 afanyie chochote!

Kwa rate ya ngapi mkuu?
 
Fanya maarifa wewe ni mtoto wa kiume huo umri wake umeenda sana ebu fikiria fikiria jitahidi pasiwe na ushahidi.
 
Nadhani ndio maana
kwa umri ulio nao hadi sasa haukuwa na plan zozote? in case of?
Pia naona kama hakuna hizo milion wala nini ni kama unahitaji ujaze watu hapa baasi, maana kwa akili tu yako ilivyo ingekuwa kweli
naona ulikuwa bata batani,
Pia ungekua timamu nadhani usingetumia mambo ya kueleza mirathi ama mafao hapa ungeleta hoja ya kuomba ushauri ama mawazo ya biashara kwa namna nzuri na nyingine kabisa.
Pia kama nikweli inaonyesha nimalimbukeni mno maana unaweka kila jambo hadharani namna hiyo, ni shida sana mkuu
Lakini pia kama ingekuwa kweli kwa umri wa mzee wako sidhani kama kulikuwa na haja ya wewe kuitwa kwenda kuhakiki pesa kama iko sawa.
Maana alikuwa ni mtumishi wa serikali wa taaluma safi kabisa hoja ulizoleta aliweza kuzihimili yeye mwenyewe

kama nikweli na umepewa 20m ndio ingekuwa hoja yawewe kusema nina 20m naombeni mawazo ya biashara leo hii mimi ningeweza kukutunuku wazo la biashara una inves only 12m na kia siku unakuwa na uhakika wa kuvuna laki 3 hadi 5
lastly kama unafamilia nina wasiwasi sana na namna unavyosimama kama baba maana issue ndogo kama hii imekuonyesha namna usivyojielewa.

Sema Pia kama nikweli basi nendeni mkamtolee Mungu Shukrani
Lakini pia kama nikweli Usipaniki Broo
Meza kiwembe ufe Mkuu maana povu si la nchi hii
 
Treasure bond za nini! Nenda nunua nyumba za nguvu mzee awe anakula pesa hio ndio bondi ya uhakika.Nyumba viwanja mashamba hupanda thamani lakini pesa hushuka thamani, ninakuhusia ndugu yangu mnunulie nyumba mbili kubwa mahala pazuri ili awe anapata kodi, hutajuta na atakuombea maisha marefu.
Asante Mkuu kwa ushauri wako
 
mwambie aje tuwekeze kwenye uchimbaji wa dhahabu,30 inatosha tukiingia share naye,afu wewe kijana ndo utakuwa unamuwakilisha katika utendaji wa kila siku.karibu if interested ni pm.
 
Hela zimeingia kwenye acc sasa ww unaenda kuzihesabu kama zimetimia??
Au siku hizi wanalipa cash?
 
Chukua chako kinachobaki mwambie apeleke amana account atakua anaingiza pesa nyingi tu kwa mwezi,biashara kwa wakati huu zitamfanya apooze mapema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom