Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 2,701
- 3,088
Dahh! Uo mdomo ningekuwa nayo ningekukopesha bila ya ribaNkopeshe million moja narudisha na riba.. Kama unaweza
Dahh! Uo mdomo ningekuwa nayo ningekukopesha bila ya ribaNkopeshe million moja narudisha na riba.. Kama unaweza
Mbona wanalipwa zmeshahesabiwa unaenda hesabu nini mkuu? si wanalipiwa kwenye akaunti zao za benki ndugu na ukichek salio tu unaona au?Lamba barafu ukufe nawewe mwambie wakwako atafu ukijifanya jeuri unakutana na jeuri
Kunanini mbona sion
KumbeeMbona hili sio la kushangaa wengi wanaoa kwa viinua mgongo na kujenga kwa viinua mgongo.
karibu nyarugusu.Mnachimba wapi mkuu
Wakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
Wakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
Wakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
Teh teh! Miaka miwili iliyobakiUshauri muruwa