HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,399
- 6,077
Hatimae mzee kavuta 98m za kiinua mgongo - JamiiForums
Nimesha rudi dar nashukuru kwa mlio nishauri ushauri wenu tumeufanyia kazi kwa kuweka 50M fixed account wakati mzee akifikiria cha kufanya mbeleni 20m nilipewa mie 8m aliwapa Dada zangu watatu Wa gawane hiyo nyingine wanakula taratibu na Bi mkubwa huku 50m iko bank sasa basi nafikiria ninunue Kiwanja goba then nitafute mke nikalipe mahari mambo mengine yatajiseti mbeleni karibuni Leo jioni 40/40 Bima kupunguza stress
Nimesha rudi dar nashukuru kwa mlio nishauri ushauri wenu tumeufanyia kazi kwa kuweka 50M fixed account wakati mzee akifikiria cha kufanya mbeleni 20m nilipewa mie 8m aliwapa Dada zangu watatu Wa gawane hiyo nyingine wanakula taratibu na Bi mkubwa huku 50m iko bank sasa basi nafikiria ninunue Kiwanja goba then nitafute mke nikalipe mahari mambo mengine yatajiseti mbeleni karibuni Leo jioni 40/40 Bima kupunguza stress