Hatimae mzee kavuta 98m za kiinua mgongo

Hatimae mzee kavuta 98m za kiinua mgongo

Yaani hii ni balaa, mtoto anaanza kuomba ushauri wa kuzipangia bajeti hela za mzee wake wakati mwenye nazo yupo hai, na vile vile anaonekana ni mbinafsi anadai yeye ndo pekee wa kuzisimamia na kuzipangia bajeti akiona kua wenzie hawahusiki kwa kua ni wa kike, je siku mzee atakapotangulia mbele ya haki hio hela si atawadhulumu wenzie kama itakua bado ipo.
Hayo nimawazo yako ulitaka mtu atoke kwa mmewe aje kujadili maendeleo nyumbani
 
Aje nimuuzie kiwanja kwala, akajenge hotel au lodge au guest na bar! Soon bandari ya ncho kavu inazinduliwa kutakuwa na wageni wa nje ya nchi wengi...na kuna soko kubwa la mnada every saturday wafugaji wanakunywa sana pombe...hivyo bar haitomtupa...ukubwa wa eneo ni 70*20 miguu
 
Kuna kitu hakijakaa sawa, labda kama mzee wako alikuwa Jaji wa mahakama ya rufaa au Profesa daktari bingwa maana hao ndio wanastaafu na 65 yrs kwa mujibu wa sheria! Wengine wote ni 60yrs

Umesema mzee wako kastaafu mwaka huu na ana 65 yrs, je alighushi cheti au!? Maana watumishi wa zamani kabla vya kuanza kutolewa vyeti vya kuzaliwa around 1972 waliishi kwa viapo na walikuwa wanadanya umri balaa, maana msamiati wa kustaafu ulikuwa unawatisha sana.
 
Aje nimuuzie kiwanja kwala, akajenge hotel au lodge au guest na bar! Soon bandari ya ncho kavu inazinduliwa kutakuwa na wageni wa nje ya nchi wengi...na kuna soko kubwa la mnada every saturday wafugaji wanakunywa sana pombe...hivyo bar haitomtupa...ukubwa wa eneo ni 70*20 miguu
shin ngap?
 
Hayo nimawazo yako ulitaka mtu atoke kwa mmewe aje kujadili maendeleo nyumbani
Ni vizuri kushirikishana wote ndio muamue hizo hela mzee azifanyie miradi gani, kwani ushauri wako peke yako hautoshi, ikija kutokea ushauri uliompatia mzee wako jinsi ya kuzifanyia kazi hizo hela halafu ushauri wako ukaja kudunda, hela ya mzee ikaisha na yeye akiwa bado hai huoni utaubeba mzigo wa lawama zote we mwenyewe?
 
Wewe ni mzembe kuoa kwa Pesa za baba kustaafu?
Wakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
 
Kama hajawahi kufanya biashara asijiingize kwenye biashara itaisha yoote!
Mwambie atoe walau mil 50 afungue fixed account benki, kila miezi mitatu hatakosa mil 3 faida( inamtosha kbs kuishi bila stress) inayobaki mil 40 afanyie chochote!
 
Ila jamii forumz mnatungaga habari za kusadikika,,,, mtu unatunga stori tamu ya kusisimua utadhani kweli kumbe ni mtu na hkl yake
 
Ila jamii forumz mnatungaga habari za kusadikika,,,, mtu unatunga stori tamu ya kusisimua utadhani kweli kumbe ni mtu na hkl yake
Shauri yako baki na fikra feki karibu Mkuu mwanaume Wa dar nimeshafika mkoani mbeya
 
Wakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
Nakuomba umshauri Mzee wetu achukue sehemu ta fedha awekeze kwenye Dhamana za Serikali (Treasury Bond). Huu ni uwekezaji wa uhakika kabisa. Fika Benki Kuu Tawi la Mbeya kwa msaada zaidi, au unaweza kumsaidia akaongea na Benki yake ya Biashara kwa ufafanuzi zaidi. Mpe Hongera sana Mzee.
 
Kama hajawahi kufanya biashara asijiingize kwenye biashara itaisha yoote!
Mwambie atoe walau mil 50 afungue fixed account benki, kila miezi mitatu hatakosa mil 3 faida( inamtosha kbs kuishi bila stress) inayobaki mil 40 afanyie chochote!
Hajawahi Fanya biashara yoyote zaidi ya kuwapa vijana bodaboda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom