Totozuriiii
Senior Member
- Mar 15, 2018
- 130
- 66
Mkoa wa pwani...vigwaza( km18 unaingia ndan) ndo kulipo na Bandari ya nchi kavu
Mkoa gani
Mkoa gani
hahahaha..aiseeBasi hapo utakuta kazi uliyo kuwa unafanya dar umeicha kabisa , vijana tabu sana
Wakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
Wakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
Ukirudi dar nipm nikupeleke bar yenye mademu wakali20m mkuu
VyovyoteMahari.
Nawewe stafu"Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi." UTTER NONSENSE.
Ina maana dada zako hawajui kuhesabu hela?
On a positive note, hongera kwa mzee wako kwa kustaafu na kwa kupata mafao yake.
Baba ako anajua kama unaipangia bajeti pesa yake(unataka kuoa kwa pesa yake[emoji23][emoji23])
40/40 Tabata bima au kuna nyingine? Hela ya baba ndio nikahonge staki laanaUkirudi dar nipm nikupeleke bar yenye mademu wakali
"Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi." UTTER NONSENSE.
Ina maana dada zako hawajui kuhesabu hela?
On a positive note, hongera kwa mzee wako kwa kustaafu na kwa kupata mafao yake.
Haya..hongeraNdio hata yeye alipewa mahari na baba yake
Nawewe stafu
AsanteMhubiri 3:1-8 BHN
Kila kitu kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake: Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa; wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa; wakati wa kuugua na wakati wa kuponya; wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga; wakati wa kulia na wakati wa kucheka; wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza; wakati wa kutupa mawe na wakati wa kuyakusanya mawe pamoja; wakati wa kukumbatia na wakati wa kuacha kukumbatia; wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza; wakati wa kuhifadhi na wakati wa kutupa; wakati wa kurarua na wakati wa kushona; wakati wa kukaa kimya na wakati wa kuongea; wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia; wakati wa vita na wakati wa amani.
Hamna. Wangu mbona kavuta 83 na kapunjwa hakupanda daraja. Ingefika 90+98m lazima mzee wako alikuwa mkurugenzi.anaitwa nani?anaishi wp kwenu ni wp?
Yaani what a shameMkubwa hvyo ulikua unasubiria mahari toka kwa baba yako?
Ulitaka nifanyejeYaani what a shame