HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,445
- 6,207
- Thread starter
- #41
Ulitaka ninuneMtu aliyejiajiri na ameajiri asingeshangilia kupata mahali kutoka kwenye fungu la kustaafia baba yake.
Ulitaka ninuneMtu aliyejiajiri na ameajiri asingeshangilia kupata mahali kutoka kwenye fungu la kustaafia baba yake.
Kawetele unataka ukamteke?Anaishi mbeya sehemu gani
Hakuna aliyewahi kutajirika kwa kuinvest pension. Cha muhimu awagawie kidogo kidogo nyingine azile taratibu taratibu.
By the way, imekuwaje amestaaf na 65?
Rudisha fedha ya baba yako. Mtoyo wa kiume baada ya kupevuka, mali za baba unatakiwa ukae nazo mbali sana.20m mkuu
Mkuu hela za mafao ya mzazi wako unazifungulia uzi huku? Inaonekana ni jinsi gani mafao ya mzazi wako yanavokuchanganya.Wakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
Mkuu hela za mafao ya mzazi wako unazifungulia uzi huku? Inaonekana ni jinsi gani mafao ya mzazi wako yanavokuchanganya.
Ulitaka ninune





20m mkuu
Sawa pamoja na hayo, ila sikushauri sana kutegemea hela ya mzazi wako wakati yeye mwenye hela yake akiwa bado hai.Fedha ya baba ni yangu