Unataka uoe kwa penshen ya baba yako [emoji28][emoji28][emoji28]
Ungekua mwanangu tungeshare
Mbona alipita umri wa kustaafu, ilitokeajeWakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
Aoe mke mwingineWakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
Kwamba ile jibapaMimi ndio naenda kusimamia show yote tuliza kengele chini
Mkuu nimejiajiri na nmeajiri watu hivyo naenda tu kuweka mambo sawa
Baba Mchungaji weweAoe mke mwingine
Hahahahaa hongera zake. Kwa uzoefu ni kwamba hela za wastaafu huwa hazikatishi mwaka mmoja au miwili. Hivyo basi kama mzee wako ni muelewa basi msaidie kuzifanya hizo hela zake zilete hela nyingne.Wakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
Mambo gani unaenda kuweka sawa, kwahiyo ajira yako umeiacha
Rikizo ya dharura
Kama uchumi wa nchi ungekuwa stable ningemshauri afungue fixed deposit account, kwa hali ilivyo unaweza kusikia benki imdmefilisika.
Kama mna utaalamu anunue US$ au UK£ azipumzishe kwa miaka hii miwili ya utawala wa jiwe uliobaki.
Anasomesha mdogo wangu Wa mwisho yuko Mwaka Wa mwisho chuo pia ananyumba mbili ana bodaboda nadhani sasa biashara ndio itamfaaHahahahaa hongera zake. Kwa uzoefu ni kwamba hela za wastaafu huwa hazikatishi mwaka mmoja au miwili. Hivyo basi kama mzee wako ni muelewa basi msaidie kuzifanya hizo hela zake zilete hela nyingne.
Je alijiandaa vyema,kwa maana ya hana watoto wanaosoma,je amejenga? Je anakitu kinachomuingiza hela ya kula kila siku kabla ya hiyo pension?
Angalien mazingira yenu kisha muangalie ni huduma au bidhaa gani mnaweza kuuza ambayo inamahitaji hivyo mnaweza kufanya kama biashara
Wastaafu wengi hukimbilia biashara ya daladala wakiamin inalipa sana kwa kuangalia malengo ya siku ni sh 80,000/ mara 30 mara miez 12 basi wanaona utajiri huu hapa. Hapo hawajatoa matumiz. Pia kuna biashara ya mashine za kusaga na kukoboa nazo saiz zmevamiwa na wastaafu hivyo kufanta soko kuwa gumu kama hauna ubunifu.
Pia kama wewe kijana wake haujaajiriwa nafikiri itakuwa njia nzuri ya mzazi wako kuwekeza fedha kupitia wewe.
Fixed deposit pia sio mbaya sana coz ni mstaafu ila kwa kijana hii sio biashara kabisa.Kama uchumi wa nchi ungekuwa stable ningemshauri afungue fixed deposit account, kwa hali ilivyo unaweza kusikia benki imdmefilisika.
Kama mna utaalamu anunue US$ au UK£ azipumzishe kwa miaka hii miwili ya utawala wa jiwe uliobaki.
Kwani hao wa kike sio watoto wake?
Kwenu watoto ni wa kiume pekee wanaorithi?
Vijana wenzangu, tuwatengenezee watoto maisha yao. Hela za kustaafu ziwe zetu, watoto wasizitolee macho.
Kama unazaa zaa tu kama kuku huku hujawawezesha watoto wako ndio wanakuja kua kama huyu anaetegemea mafao ya baba yake aolee.
Tusisahau watoto wa kike pia ni watoto wetu, wana haki ya kurithi mali ya baba yao.
Anaishi mbeya sehemu ganiAnasomesha mdogo wangu Wa mwisho yuko Mwaka Wa mwisho chuo pia ananyumba mbili ana bodaboda nadhani sasa biashara ndio itamfaa
Mkuu nimejiajiri na nmeajiri watu hivyo naenda tu kuweka mambo sawa