Hati ya Mashtaka dhidi ya CAG Assad: Anachomokaje?

Status
Not open for further replies.
Ndugai anamaliza muda wake mwakani. Tulia anahangaikia jimbo la sugu, akilikwapua analamba uspika. CAG bado yupo yupo. Wananchi tulieni.
 
Mbona mnahangaika hivyo?

Mnatafuta atoke muweke mdhaifu wenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mku lakini kumbuka CAG pia aliulizia lile gari kuandikwa kwa jina la mtu binafsi kule Chadema , bado halijajibiwa pia. Unamanisha na vyama vya upinzani ni vidhaifu pia? Nakama navyenyewe ni vidhaifu kwanini tuvipigie kura ili viendeshe nchi?
 
POROJO TUPU, HAKUNA CHA MASHTAKA WALA NINI. HUO NI UGOMVI BAINA YA MAFISADI NA MLINDA HELA ZA SERIKALI
BAINA YA CHUKI BINAFSI ZA NGUNGAY VS ASSAD
 
Magazeti ya leo yamemnukuu Spika wa Bunge, Job Ndugai, akitaja mashtaka yanayomkabili CAG Assad. Ni kama ametaja hati ya mashtaka yenye tuhuma mbili, kama ifuatavyo:

Tuhuma ya kwanza: Huku ukijua kwamba, Bunge ni taasisi inayojumuisha Wabunge, Mawaziri na Rais, ambapo Rais ndiye mwajiri na mteuzi wa CAG Assad (1); na ukiwa unaelewa kwamba, Hati ya Majukumu ya CAG haisemi kuwa kutathmini utendaji wa taasisi ya Bunge ni kazi yake mojawapo, ulichukua hatua ya kufanya tathmini ya utendaji wa Bunge na kugundua kwamba Bunge ni dhaifu; na hivyo, kumdharau mteuzi wako kwa kufanya kazi iliyo nje ya majukumu yako rasmi. Mwenendo huu ni kinyume cha kifungu cha X kinachoongoza ajira yako kama CAG.

Tuhuma ya pili: Ukijua kwamba, wewe sio msemaji wa ofisi inayohusika na kutathmini utendaji wa Bunge; alibeba jukumu la kuitangazia dunia kwamba, Bunge la Tanzania ni dhaifu kwa mujibu wa Utafiti wako; na hivyo kulidhalilisha Bunge mbele ya Jumuiya ya KImataifa. Mwenendo huu ni kinyume cha kifungu cha Y kinachoongoza ajira yako kama CAG.

Wito: Hivyo, ndani ya masaa 48 baada ya kupata barua hii, unatakiwa kujitokeza mbele ya Mteuzi wako na kujieleza kwa mdomo na kwa maandishi kwa nini usichukuliwe hatua za kinidhamu.

Wako katika ujenzi wa Taifa,
Ayubu Ndugai.
Safi sana umetisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yawezekana kuna kosa ila mbna km nguvu kubwa sn inatumika
Au mi ndo sielewi
 
Jamaa si aresign tu ili kulinda heshima yake... He is a hero already.
 
Cha kwanza unatakiwa kujua CAG (prof. kikatiba hauko sawa naye) naye ni mmoja kati ya wachache wanaolindwa zaidi yako na katiba
 
Unajielewa kweli...

Shida zote hizi za nini..

CCM hawamtaki maana ataendelea kuwaumbua ufisadi wao...

Na hawapo tayari endelea umbuka.
Je kama Taifa hio ndio njia sahihi?.
Katiba inamlinda sana uyu CAG as an individual
ni vyema kukawa na checks and balance ktk nchi
Japo CCM nao wanatuonyesha their true colors bila woga dahhh
Ngja tuone movie
 
Mkuu Ndugai baada ya gharama ya matibabu yako kuwekwa hadharani mbona umeumia sana aisee ?
 
Status
Not open for further replies.
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom