Mefloquine
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 499
- 1,194
Ndugai anamaliza muda wake mwakani. Tulia anahangaikia jimbo la sugu, akilikwapua analamba uspika. CAG bado yupo yupo. Wananchi tulieni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Koma
1.5 TKuna swali nikiwauliza huwa mnapotea kuhusu sakata hili.
Je ni ripoti ipi ya CAG ilioonesha udhaifu wa bunge?
Mku lakini kumbuka CAG pia aliulizia lile gari kuandikwa kwa jina la mtu binafsi kule Chadema , bado halijajibiwa pia. Unamanisha na vyama vya upinzani ni vidhaifu pia? Nakama navyenyewe ni vidhaifu kwanini tuvipigie kura ili viendeshe nchi?
Safi sana umetishaMagazeti ya leo yamemnukuu Spika wa Bunge, Job Ndugai, akitaja mashtaka yanayomkabili CAG Assad. Ni kama ametaja hati ya mashtaka yenye tuhuma mbili, kama ifuatavyo:
Tuhuma ya kwanza: Huku ukijua kwamba, Bunge ni taasisi inayojumuisha Wabunge, Mawaziri na Rais, ambapo Rais ndiye mwajiri na mteuzi wa CAG Assad (1); na ukiwa unaelewa kwamba, Hati ya Majukumu ya CAG haisemi kuwa kutathmini utendaji wa taasisi ya Bunge ni kazi yake mojawapo, ulichukua hatua ya kufanya tathmini ya utendaji wa Bunge na kugundua kwamba Bunge ni dhaifu; na hivyo, kumdharau mteuzi wako kwa kufanya kazi iliyo nje ya majukumu yako rasmi. Mwenendo huu ni kinyume cha kifungu cha X kinachoongoza ajira yako kama CAG.
Tuhuma ya pili: Ukijua kwamba, wewe sio msemaji wa ofisi inayohusika na kutathmini utendaji wa Bunge; alibeba jukumu la kuitangazia dunia kwamba, Bunge la Tanzania ni dhaifu kwa mujibu wa Utafiti wako; na hivyo kulidhalilisha Bunge mbele ya Jumuiya ya KImataifa. Mwenendo huu ni kinyume cha kifungu cha Y kinachoongoza ajira yako kama CAG.
Wito: Hivyo, ndani ya masaa 48 baada ya kupata barua hii, unatakiwa kujitokeza mbele ya Mteuzi wako na kujieleza kwa mdomo na kwa maandishi kwa nini usichukuliwe hatua za kinidhamu.
Wako katika ujenzi wa Taifa,
Ayubu Ndugai.
Kasikilize vizuri mahojiano aliyoyatoa kwenye redioCAG Asad alisema kama yeye anapeleka report na Bunge halifanyii kazi report basi huo utakuwa ni udhaifu wa Bunge, hakusema kuwa Bunge ni dhaifu, HAWA WASHAMBA WANACHOKITAFUTA HAWAKIPATI..
Tushawajua nyie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aresign kwa kisa kipiJamaa si aresign tu ili kulinda heshima yake... He is a hero already.
Huo ni mpango umesukwa toka juu,
Huyu Mgogo ni chambo tu.
Wananchi tusikubali kama huu ni mtego na chambo ni ndugai,mtego huu uwanase wao.
Wanataka wapige hela zetu bila kuhojiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo kilichobaki...Koma
Unajielewa kweli...Aresign kwa kisa kipi
Je kama Taifa hio ndio njia sahihi?.Unajielewa kweli...
Shida zote hizi za nini..
CCM hawamtaki maana ataendelea kuwaumbua ufisadi wao...
Na hawapo tayari endelea umbuka.
Hivi kama wewe sio mchawi halafu MTU akakuita mchawi unaumia kwa sababu gani
Sent using Jamii Forums mobile app