Hati ya Mashtaka dhidi ya CAG Assad: Anachomokaje?

Hati ya Mashtaka dhidi ya CAG Assad: Anachomokaje?

Status
Not open for further replies.
Ndugai Mungu anakuona kwa jinsi unavyogeuza maneno ambayo cag aliyasema! Hakuna mahali cag alisema bunge ni dhaifu bali alisema ni udhaifu wa bunge kutokuchukua hatua za kuishauri serikali!
Nakushauri usome maandiko hasa Zaburi inayotamka kuwa hakuna mwanadamu mkamilifu kwani ni wadhaifu mbele za Mungu! Kwanini hutaki kuambiwa wala kusikia neno dhaifu?
Jiuzulu tu kama kweli wewe siyo dhaifu!
 
Hati ya mashtaka ina UDHAIFU wa kisheria na kiufundi kama alivyo mlalamikaji mwenyewe kwa hiyo ni batili na haipo kwa hiyo status quo maintained. Sitachukua hatua yoyote naendelea kuchapa kazi kwa mujibu wa sheria mama KATIBA.
#IstandwithCAG
 
Ndugai Mungu anakuona kwa jinsi unavyogeuza maneno ambayo cag aliyasema! Hakuna mahali cag alisema bunge ni dhaifu bali alisema ni udhaifu wa bunge kutokuchukua hatua za kuishauri serikali!
Nakushauri usome maandiko hasa Zaburi inayotamka kuwa hakuna mwanadamu mkamilifu kwani ni wadhaifu mbele za Mungu! Kwanini hutaki kuambiwa wala kusikia neno dhaifu?
Jiuzulu tu kama kweli wewe siyo dhaifu!
Soma hii comment we jingalao

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi japo hutaki ila jana kalimaliza,hii nguvu mnayotumia kumkingia kifua ngoja tuone
Kalimalizaje...mwambie amfukuze kazi sasa...kama yeye kidume mbona hadi leo hajamfukuza kazi anasubiri nini
 
Ni hivi, bunge ni dhaifu, na yote hayo yamesababishwa na spika kujipendekeza kwa jiwe. CAG ana support ya umma na hawa wote wanaomgasi CAG akiwemo Spika na jiwe nyuma ya pazia ni wezi wa hela za umma fullstop.
Ngoja ,muda si mrefu sakata litahitimishwa rasmi na bingwa kufahamika,hii sakata na ile ya Makonda awajibishwe kwa kuwavuruga nyie wauza ngada iliishaje?,till nao Makonda is RC of dar.
 
Ndugai anaogopa nini au kuna hela imeliwa?
Hivyo ndivyo ilivyo,zimepigwa hasa.Wanatutoa kwa reli,tuongelee udhaifu/uimara wa Bunge letu tukufu.
We're not serious.
Tudai Katiba ya wananchi kabla hatujachelewa zaidi,hali ni mbaya sana.
 
Ayubu ameichukua hii vita too personal, hili linaweza kuwa ndiyo anguko lake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom