The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Tayari matukio mawili yametokea hapo Daresalaam Zoo Tegeta
na yanaonesha kiwango kikubwa cha uzembe wa wahusika
mwanzo ilikuwa Simba kutoroka kwa siku kadhaa kabla ya kupatikana
na la juzi ni mtoto wa miaka mitano
alie kwenda kutazama hao wanyama kunusurika kutafunwa na kujeruhiwa na Simba
baada ya wananchi wengine kumshambulia Simba kwa mawe....
sasa sijui tunasubiri nini kitokee kingine ndo tukubali kuwa hii Zoo ifungwe na iondolewe hapo
ni hatari kwa usalama wa wakazi wa hapo Tegeta na maeneo ya karibu yoote
kikubwa ni kuwa taratibu za usalama hazizingatiwi na wahusika....
tusisubiri hadi vifo vitokee...........wahusika wapewe shinikizo sasa.....ni hatari
na yanaonesha kiwango kikubwa cha uzembe wa wahusika
mwanzo ilikuwa Simba kutoroka kwa siku kadhaa kabla ya kupatikana
na la juzi ni mtoto wa miaka mitano
alie kwenda kutazama hao wanyama kunusurika kutafunwa na kujeruhiwa na Simba
baada ya wananchi wengine kumshambulia Simba kwa mawe....
sasa sijui tunasubiri nini kitokee kingine ndo tukubali kuwa hii Zoo ifungwe na iondolewe hapo
ni hatari kwa usalama wa wakazi wa hapo Tegeta na maeneo ya karibu yoote
kikubwa ni kuwa taratibu za usalama hazizingatiwi na wahusika....
tusisubiri hadi vifo vitokee...........wahusika wapewe shinikizo sasa.....ni hatari