BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
hiyo zuu niliwahi kwnda kipindi fulani, nikakuta simba wamejawa na mainzi machoni hadi huruma, inawezekana kuna utunzaji dhaifu wa wanyama hao...... mpaka mnyama anatoroka wao walikuwa wapi?
poleni sana...
hamieni kwetu charambe simba tushawazoea....
poleni sana...
hamieni kwetu charambe simba tushawazoea....