mangelengele
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 1,293
- 1,102
Hakuna tofauti yoyote=binadamu hutawaliwa na hisia- Hisia ndio inakufanya ufurahie tendo
Safi Jack, me ningekuwa nalo nisingetoa aisee. Serikali wanasingizia yanasababisha HIV c kweli. Seme yana ashki ya hali ya juu, so walitaka kupunguza speed hiyo vijijini. Km ni uchafu ni swala la usafi tu.