Hataki unyumba na mimi kisa nina govi

Hataki unyumba na mimi kisa nina govi

Ushamba na ulimbukeni wa wanawake gov linashida gani kama naoga vizuri na kujiweka usafi, by the way wazungu wengi wana magovi europe yote hawatahil mkiwapata huko wenye magovi hata hamsemi chochote kimya kimya
 
du bado unalifuga tu, kisa mila, usijali mimi muda si mrefu nakuja dom, nipe namba ya huyo dada, nije nimshauri vizuri faida na hasara za govinda.
 
Yeye nadumisa mila ile wengine kishashindwa...!
 
Pilitoni

kwenu ni wapi ambako bado hawatahiri?...kila mahali siku hizi wanaume wanatahiri hata waliokwenye ndoa katika sehemu/makabila ambako hawakuwa wanatahiri.

Huyo msichana wako naye ni mjinga, ilikuwaje akakukubali hata ile kuwa mpenzi wake.!!!

Katoe huo uchafu...besides si mkeo hivyo si unyumba...ni ngono
 
Last edited by a moderator:
Wewe sizani hata kama ni mzima

Huo ni uchafu, litoe hilo mara moja

Itabidi serikali ianze kukata magovi kwa lazima sasa
 
Labda kashafanya mapenzi na mwanaume mwingine ambae hana govi, kwa hiyo anataka na wewe uliondoe. labda kakuchoka ni njia tu ya kukuacha katafuta sababu ambayo anajua wewe huwezi kuitekeleza. Labda kashahadithiana na wenzake na wakamshauri hivyo. Ni wewe ndiyo unayejua nini chakufanya, maamuzi yapo kwako.
 
sisi wanawake ni waongo,unampenda mtu,unastuka baadaye ni gov,ushatumbukia kwenye hisia-inabidi uendelee hivyo hovyo -tukija humu JF tunajifanya hatutaki ma gov.Ukweli ni kwamba ni wanawake wachache sana TZ ambao hawajawahi lala na mtu mwenye gov
 
26 bado una govinda? Kalitoe bhana kuna raha yake kuwa na kipara kisicho ota nywele. Huo mchezo wa kubenjua govinda ni wakitoto.
 
sisi wanawake ni waongo,unampenda mtu,unastuka baadaye ni gov,ushatumbukia kwenye hisia-inabidi uendelee hivyo hovyo -tukija humu JF tunajifanya hatutaki ma gov.Ukweli ni kwamba ni wanawake wachache sana TZ ambao hawajawahi lala na mtu mwenye gov

Wewe ni mkweli!!!kuna tofauti yoyote Kati ya mwenye govi na asiyenalo wakati wa kufanya mapenzi?
 
Duuh.! Mambo ya mila ni magumu sana. Ndio maana ukeketaji tumeshindwa kuumaliza.
 
kwan mpka leo unasbir nn braza?huyo kashakutna na zakari iliiyotahiliwa tayar na kshalamba ile kichwa so kurd hko kwenye huo mkono wa sweta anahc atafaid utamu...sh2ka braza nenda kakate mkono huo mzee.....
 
Hivi hizi kampeni za mkono sweta huwa hazifikagi pande zenu???
 
Back
Top Bottom