martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 864
- 1,456
Habari wakuu,
Mimi ni mwanachuo, na ni kijana wa umri wa wastani tu. Nilikutana na msichana mrembo tu hapa chuoni. Kiukweli tulianza kuwa marafiki na most of the times urafiki wetu uliunganishwa na masomo kwani tunasoma kozi moja na pia tupo class moja. Mara nyingi nimekuwa kama mwalimu wake kwani humfundisha vitu vingi ambavyo class huwa haelewi na pia huwa ana appreciate sana bond yetu.
Kiukweli sikupanga kuwa nae kwenye mahusiano na msichana huyu , but alikuwa akionyesha sana dalili za kimahusiano kwangu. Namaanisha zile dalili za mtoto wa kike kumpenda mwanaume.
Ilifikia hatua nikaanza kupendezwa nae kwa ukaribu wake, upendo wake, na uhusiano wake kwangu. Nilijaribu kuongea na baadhi ya watu kuhusiana na situation inayoendelea kati yangu me na yeye, most of them waliniambia kuwa kwa dalili anazoonyesha kwangu ni kudhihirisha mapenzi yake kwangu.
Basi niliamua kumtongoza kwani hata mimi nilishampenda tayari. Sasa katika kumtongoza first time alidai anapendezwa zaidi na urafiki wetu kuliko uhusiano wa kimapenzi. Sikumuelewa kwa nini alijibu vile coz alijionesha kuwa ni mtu mwenye mapenzi na mimi.
Licha ya jibu hilo, alikuwa ni mtu aliyeniruhusu kupapasa mwili wake na kumpiga mabusu. Hili pia lilinishangaza sana. Ila baada ya kuendelea kufosi sana baadae akaniambia kuwa anataka tusome kwanza mapenzi tufanye baada ya kuhitimu masomo yetu ya chuo. Baada ya kumaliza chuo ni kama miaka 2 mbele.
Sasa najiuliza hivi kweli elimu ya chuo inaweza ikawa ni sababu ya mimi na yeye kutokuwa pamoja kwa sasa!!? Na pia inawezekana vipi kwa kipindi chote tuwe marafiki then tukimaliza ndo tuanze moja kwenye mahusiano!? Na kwa nini anaruhusu nimshike mwilini kama hataki mahusiano!!??
Naomba uzoefu wenu wakuu kuhusu huyu binti, maana me na mapenzi ya kweli na yeye ila sijui yeye mwenzangu maana sababu zake haziniingii akilini.
Mimi ni mwanachuo, na ni kijana wa umri wa wastani tu. Nilikutana na msichana mrembo tu hapa chuoni. Kiukweli tulianza kuwa marafiki na most of the times urafiki wetu uliunganishwa na masomo kwani tunasoma kozi moja na pia tupo class moja. Mara nyingi nimekuwa kama mwalimu wake kwani humfundisha vitu vingi ambavyo class huwa haelewi na pia huwa ana appreciate sana bond yetu.
Kiukweli sikupanga kuwa nae kwenye mahusiano na msichana huyu , but alikuwa akionyesha sana dalili za kimahusiano kwangu. Namaanisha zile dalili za mtoto wa kike kumpenda mwanaume.
Ilifikia hatua nikaanza kupendezwa nae kwa ukaribu wake, upendo wake, na uhusiano wake kwangu. Nilijaribu kuongea na baadhi ya watu kuhusiana na situation inayoendelea kati yangu me na yeye, most of them waliniambia kuwa kwa dalili anazoonyesha kwangu ni kudhihirisha mapenzi yake kwangu.
Basi niliamua kumtongoza kwani hata mimi nilishampenda tayari. Sasa katika kumtongoza first time alidai anapendezwa zaidi na urafiki wetu kuliko uhusiano wa kimapenzi. Sikumuelewa kwa nini alijibu vile coz alijionesha kuwa ni mtu mwenye mapenzi na mimi.
Licha ya jibu hilo, alikuwa ni mtu aliyeniruhusu kupapasa mwili wake na kumpiga mabusu. Hili pia lilinishangaza sana. Ila baada ya kuendelea kufosi sana baadae akaniambia kuwa anataka tusome kwanza mapenzi tufanye baada ya kuhitimu masomo yetu ya chuo. Baada ya kumaliza chuo ni kama miaka 2 mbele.
Sasa najiuliza hivi kweli elimu ya chuo inaweza ikawa ni sababu ya mimi na yeye kutokuwa pamoja kwa sasa!!? Na pia inawezekana vipi kwa kipindi chote tuwe marafiki then tukimaliza ndo tuanze moja kwenye mahusiano!? Na kwa nini anaruhusu nimshike mwilini kama hataki mahusiano!!??
Naomba uzoefu wenu wakuu kuhusu huyu binti, maana me na mapenzi ya kweli na yeye ila sijui yeye mwenzangu maana sababu zake haziniingii akilini.