Hataki unyumba na mimi kisa nina govi

Hataki unyumba na mimi kisa nina govi

Pilitoni

Mwenzako ameshaonja iliyotahiliwa akanogewa, akaona kwa vile anakupenda akuletee ushauri kusudi utamu huo aupate nyumbani! wewe unaleta mbwembwe za mila, haya!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Usilikate kwa shinikizo la huyo manzi,kata kwa kuwa umeamua mwenyewe maana unaweza likata na ukaachwa pia.
 
one in a million. kwanini umsikilize mmoja wa hasara wakati milioni moja wako kwa faida?

Tafuta anaye endana na hali yako! mbona wapo wengi tu?

Hata humu wamo! we jitangaze tu kuwa una govi na unatafuta mwanamke anaye endana na wewe!

Utawakimbia mwenyewe brother Pilitoni...
 
Last edited by a moderator:
Gogle njoo msaidie huyu....
 
Last edited by a moderator:
Pilitoni

Hivi umevukaje vikwazo vyote na hili govi? Kweli wewe mgumu, wenzako wakifanikiwa Primary school Sekondary watalitoa tu maana hatokuwa na amani wewe ulikuwa hujichanganyi na wenzio? Mkuu huna cha mila wala nini huo ni uoga wako tu toa kona la sweta mkuu hutojutia, binti anakupenda huyo angekuwa mwingine ungehama mtaa
 
Last edited by a moderator:
Kwa faida yako....tafuta msichana wa kwenu basi, ukitaka wa mujini kamuondoe huyo govinda
 
Mila za kwenu wapi huko wanakohusudu magovi? Hilo kabila sijawahi lisikia hapa tz!
 
achana na mila hizo ndugu hata Bible inasema kuhusu kutahiriwa sasa utakuja kujikuta unakosa wife maana wanawake wa sasa hv digital utamwambia nn kuhusu kutotairiwa??????
 
Una govi na Una hela? Au Ina govi na pia HUNA hela?

Kama una govi na unazo hela still kakwambia hivyo basi inatoka moyoni mwake. Kama una govi halafu hauna hela hapo ujue anatafuta gia ya kukumwaga huyo tatizo sio govi
 
  • Thanks
Reactions: amu
tena nigekuwa mimi mwanamke hata kunigusa usigenigusa, kama unakumbatia mila zako, si ukanzioe hizo mila. vyoooo

siku ile ulipowaambia wanawake wanaojipenda wasiolewe na wanaume wa Dar ulikua na maana gani..??? Dar hakuna magovi mkuu waache waje tu
 
Ikiwa hivyo wanawake wakwenu wanakubali hayo magovinda, Bora ukachukue huko....
 
Back
Top Bottom