Usilikate kwa shinikizo la huyo manzi,kata kwa kuwa umeamua mwenyewe maana unaweza likata na ukaachwa pia.
nice comment.
watu wamebadili hadi dini na bado wakaachwa
Usilikate kwa shinikizo la huyo manzi,kata kwa kuwa umeamua mwenyewe maana unaweza likata na ukaachwa pia.
Tayari hata yeye hakubaliani na hali uliyo nayo, cha msingi ni kukata tu huo mfuko wa unga over..!
Tafuta demu anaeendana na mila zenu za kutokutahiliwa.
siku ile ulipowaambia wanawake wanaojipenda wasiolewe na wanaume wa Dar ulikua na maana gani..??? Dar hakuna magovi mkuu waache waje tu
Hakuna tofauti yoyote=binadamu hutawaliwa na hisia- Hisia ndio inakufanya ufurahie tendoWewe ni mkweli!!!kuna tofauti yoyote Kati ya mwenye govi na asiyenalo wakati wa kufanya mapenzi?
tena nigekuwa mimi mwanamke hata kunigusa usigenigusa, kama unakumbatia mila zako, si ukanzioe hizo mila. vyoooo