Hataki 'doggy style' nifanye nini?

Hataki 'doggy style' nifanye nini?

Kwani lazima, si kuna staili nyingi tu mpka umuinamishe mtu hvyo ya nn wakati hapendi! Usiwe mbinafsi kufurahisha nafsi yako tu heshimu ma hisia za mwenzako pia.

Siku nyingine katika maongezi unaweza kumuuliza tu baby mbona staili fulan huipendi?! Mm mwenzio naipenda na huwa naenjoy sana. Muongee pamoja siyo kumuinamsha tu kama mbwa
 
Hii nahic ndo sababu maana nimewah sikia wanawake zaid ya mmoja waki lalamika iyo stule inaumiza sasa tuanzie hapa maana mm iyo ndio style nayoipenda na bila io naona ni sawa sijafanya kitu ata wale wanawake niliowah kulala nao bila kusex io style nahesabia ni sawa cjawah kukutana nao
Basi achana naye
 
Kwani ulipo muuliza sababu kwanini anakupa hizo ishara alikujibu nini ? Na kwanini anatakaa hiyo style ?
 
Kwani lazima, si kuna staili nyingi tu mpka umuinamishe mtu hvyo ya nn wakati hapendi! Usiwe mbinafsi kufurahisha nafsi yako tu heshimu ma hisia za mwenzako pia.

Siku nyingine katika maongezi unaweza kumuuliza tu baby mbona staili fulan huipendi?! Mm mwenzio naipenda na huwa naenjoy sana. Muongee pamoja siyo kumuinamsha tu kama mbwa
Nimeupenda huu ushaur leo tukikutana ntamwambia
 
HATAKI TUSEX DOGGY STYLE NIFANYAJE

Habari za siku wana JamiiForums.

Polen na majukumu ila niwaombe radhi km ntatumia lugha ya matusi nia yangu hasa ni kufulisha habari na kuondoa bla bla nisiwachoshe twende kwenye mada

Kwa miaka kadhaa nimewahi kuwa na mahusiano na wanawake madhaa lakini kati yao wote hamna aliewahi kugoma kusex doggy style. Sasa tatizo ni msichana wangu mpya; hatak tusex doggy style tukiwa room huwa tunakuwa free kufanya mambo yote lkn nikimgeuza hugeuka bila shida shida inakuja wakati namset ili niingie ananyanyua mgongo hali inayopelekea kuleta ugumu kuingia sasa inanibid nianze kumset tena nikifanikiwa nikitaka kuingia ananyanyua mgongo uku akinioneshea ishara kwamba hapana na baada ya hapo hukataa kabisa nimejaribu sana lakini wapi, kila siku hali ipo ivyo.

What do i need to do?
MKUU sio lazima doggy style
.MPE TWIGA ANAKUNYWA MAJI.... MPE RKO ya UNDERTAKE...hyo dk 2 tu mkuu unabwabwaja maneno hayaeleweki...

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom