Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,343
- 24,234
Ni wazi sasa hivi kwamba Katiba imekuwa ikifanyiwa maraekebisho ya mara kwa mara, kwa convenience ya watu na siyo manufaa ya moja kwa moja ya nchi.
Serikali ilipitisha miswaada na kupitisha Bungeni merekebisho ya Katiba hivi karibuni ili viongozi wa juu kabisa akiwemo Rais, Makamu wa Rais, Spika, Makamu wa Spika Mwanasheria Mkuu.
Hapa dhana ya uwajibikaji katika madaraka inapotea.
Sasa sisi wananchi tunapodai uwajibikaji kikatiba, kama mmoja wa waliopo juu watafanya jambo kinyume na sheria, haki itapatikana wapi?
Hii Katiba tuliyonayo tukiendelea kuisuka suka kuwa kwa convenience ya watawala, hilo si jema kwa mustakabali wa nchi.
Na hili tunalisema hata sisi wana CCM maana tuliyoyaona Awamu ya Tano yanatosha.
Katiba iwe kwa manufaa ya wananchi, si watawala.
Serikali ilipitisha miswaada na kupitisha Bungeni merekebisho ya Katiba hivi karibuni ili viongozi wa juu kabisa akiwemo Rais, Makamu wa Rais, Spika, Makamu wa Spika Mwanasheria Mkuu.
Hapa dhana ya uwajibikaji katika madaraka inapotea.
Sasa sisi wananchi tunapodai uwajibikaji kikatiba, kama mmoja wa waliopo juu watafanya jambo kinyume na sheria, haki itapatikana wapi?
Hii Katiba tuliyonayo tukiendelea kuisuka suka kuwa kwa convenience ya watawala, hilo si jema kwa mustakabali wa nchi.
Na hili tunalisema hata sisi wana CCM maana tuliyoyaona Awamu ya Tano yanatosha.
Katiba iwe kwa manufaa ya wananchi, si watawala.