Katiba mpya ni zimwi linalotisha sana mbele ya CCM

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,928
Kupatikana kwa katiba mpya kuna tafsiri ya uchaguzi huru na wa haki.

Uchaguzi huru na wa haki una maana ya kuanguka kwa CCM

Kunguka kwa CCM kuna tafsiri ya kupoteza udhibiti wa dola, vyombo vya usalama, mahakama nk.

Kupoteza udhibiti wa vyombo usalama , mahakama nk kuna tafsiri ya kukamatwa kwa viongozi wa CCM, kushtakiwa mahakamani, kufungwa na hata kufilisiwa mali zao ndugu na jamaa zao.

Yakitokea hayo ni tafsiri moja ya kutisha sana.. Kuanguka kwa ccm na vibaraka wake, marafiki wake na wapiga michongo wote wakubwa kwa wadogo walio ndani na walio nne ya nchi.

Kuanguka kwa CCM si kwamba itakuwa ni aibu na fedheha kwa chama chenyewe viongozi na wapambe wao bali ni pigo kwa wote waliotajirika kupitia CCM.

Je ni nani atakubali kujichinja mwenyewe?

CCM haiko tayari kwa hilo.. Kwahiyo katiba mpya kupatikana kwa njia ya amani hilo tusahau
 
Screenshots_2023-11-27-17-57-08.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahio lazima Damu imwagike ndio katiba ipatikane!!?

Wenye mamlaka ya nani ashike dola ndio wataamua wenyewe na wameshaamua kuwa Katiba lazima ipatikane na pressure imekua kubwa sana hasa baada ya kilichojiri miaka 6 ya chuma!!
 
Kwahio lazima Damu imwagike ndio katiba ipatikane!!?

Wenye mamlaka ya nani ashike dola ndio wataamua wenyewe na wameshaamua kuwa Katiba lazima ipatikane na pressure imekua kubwa sana hasa baada ya kilichojiri miaka 6 ya chuma!!
Mamlaka ya nani ashike dola ndio wataamua wenyewe na wameshaamua kuwa Katiba lazima ipatikane na pressure imekua kubwa
 
Siku Tanzania ikifanikiwa kuwa na Tume Huru tu ya uchaguzi, Policcm nao kutoshiriki, na pia wagombea huru wakiruhusiwa! Ukifanyika uchaguzi wa aina yoyote ile, CCM haiwezi kushinda.
 
C
Kupatikana kwa katiba mpya kuna tafsiri ya uchaguzi huru na wa haki.

Uchaguzi huru na wa haki una maana ya kuanguka kwa CCM

Kunguka kwa CCM kuna tafsiri ya kupoteza udhibiti wa dola, vyombo vya usalama, mahakama nk.

Kupoteza udhibiti wa vyombo usalama , mahakama nk kuna tafsiri ya kukamatwa kwa viongozi wa CCM, kushtakiwa mahakamani, kufungwa na hata kufilisiwa mali zao ndugu na jamaa zao.

Yakitokea hayo ni tafsiri moja ya kutisha sana.. Kuanguka kwa ccm na vibaraka wake, marafiki wake na wapiga michongo wote wakubwa kwa wadogo walio ndani na walio nne ya nchi.

Kuanguka kwa CCM si kwamba itakuwa ni aibu na fedheha kwa chama chenyewe viongozi na wapambe wao bali ni pigo kwa wote waliotajirika kupitia CCM.

Je ni nani atakubali kujichinja mwenyewe?

CCM haiko tayari kwa hilo.. Kwahiyo katiba mpya kupatikana kwa njia ya amani hilo tusahau

Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ni genge la wezi na hawako tayari kuona wizi wao unakomeshwa na kuchukuliwa hatua za kisheria. Nitajie waziri au kiongozi yeyote muadilifu katika serikali hii kama yupo
 
Kupatikana kwa katiba mpya kuna tafsiri ya uchaguzi huru na wa haki.

Uchaguzi huru na wa haki una maana ya kuanguka kwa CCM

Kunguka kwa CCM kuna tafsiri ya kupoteza udhibiti wa dola, vyombo vya usalama, mahakama nk.

Kupoteza udhibiti wa vyombo usalama , mahakama nk kuna tafsiri ya kukamatwa kwa viongozi wa CCM, kushtakiwa mahakamani, kufungwa na hata kufilisiwa mali zao ndugu na jamaa zao.

Yakitokea hayo ni tafsiri moja ya kutisha sana.. Kuanguka kwa ccm na vibaraka wake, marafiki wake na wapiga michongo wote wakubwa kwa wadogo walio ndani na walio nne ya nchi.

Kuanguka kwa CCM si kwamba itakuwa ni aibu na fedheha kwa chama chenyewe viongozi na wapambe wao bali ni pigo kwa wote waliotajirika kupitia CCM.

Je ni nani atakubali kujichinja mwenyewe?

CCM haiko tayari kwa hilo.. Kwahiyo katiba mpya kupatikana kwa njia ya amani hilo tusahau

Sent using Jamii Forums mobile app
Katiba mpya iliyo nzuri, inayotokana na mawazo, fikra na mitazamo ya wananchi walio wengi zaidi ktk nchi haiwezi kupatikana hivi hivi tu bila watu kupigana mapigano ya umwagaji wa damu, haitawezekana kamwe. Uzoefu na tafiti mbalimbali kuhusu jambo hili zinathibitisha ulweli huu, nchi zote zenye Katiba nzuri hapa duniani inaonyesha kwamba Katiba hizo nzuri zilipatikana baada ya mapigano makali ya umwagaji wa damu, mifano hai ya suala hili ni nchi ya Marekani, Afrika ya Kusini na hata jirani zetu Kenya.
 
Sio tu itakuwa pigo kwa waliotajirika kupitia CCM, itakuwa pigo hata kwa CCM wenyewe waliotajirika kupitia mali za umma.

CCM wamehodhi viwanja vya mpira karibia Tanzania yote, wanapata mapato kupitia michezo mbalimbali inayofanyika hapo.

Wakati hivi viwanja vilijengwa enzi ya chama kimoja kwa jasho la watanzania wote bila kujali itikadi zao, leo CCM wanafanya ionekane wote waliojenga vile viwanja walikuwa CCM wenzao.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Katiba Mpya ni lazima ipatikane. Watahangaika kuizuia lkn muda ikiwadia hawana namna. Wanaozuia Katiba Mpya isipatikane kwa sasa ni kakikundi kadogo nadani ya CCM wakisaidiwa na CHAWA wao.

Na suala hili linaweza kuja kuifanya CCM imeguke kabala ya Uchaguzi ujao wa 2024/25.
 
Kwa tulipofikia, CCM wanahitaji Katiba mpya zaidi kuliko upinzani na makundi mengine.

Tusubiri
 
Kupatikana kwa katiba mpya kuna tafsiri ya uchaguzi huru na wa haki.

Uchaguzi huru na wa haki una maana ya kuanguka kwa CCM

Kunguka kwa CCM kuna tafsiri ya kupoteza udhibiti wa dola, vyombo vya usalama, mahakama nk.

Kupoteza udhibiti wa vyombo usalama , mahakama nk kuna tafsiri ya kukamatwa kwa viongozi wa CCM, kushtakiwa mahakamani, kufungwa na hata kufilisiwa mali zao ndugu na jamaa zao.

Yakitokea hayo ni tafsiri moja ya kutisha sana.. Kuanguka kwa ccm na vibaraka wake, marafiki wake na wapiga michongo wote wakubwa kwa wadogo walio ndani na walio nne ya nchi.

Kuanguka kwa CCM si kwamba itakuwa ni aibu na fedheha kwa chama chenyewe viongozi na wapambe wao bali ni pigo kwa wote waliotajirika kupitia CCM.

Je ni nani atakubali kujichinja mwenyewe?

CCM haiko tayari kwa hilo.. Kwahiyo katiba mpya kupatikana kwa njia ya amani hilo tusahau

Sent using Jamii Forums mobile app
Mchakato utaanza upya rasmi mara tu baada ya uchaguzi mkuu 2025.

Atakae taka na atake, atakae zira na azire, atakaesusa na asuse. Mchakato utaanza upya kabisa na hautasimama kwasababu zozote zile.
Ya warioba muachie warioba
 
Mchakato utaanza upya rasmi mara tu baada ya uchaguzi mkuu 2025.

Atakae taka na atake, atakae zira na azire, atakaesusa na asuse. Mchakato utaanza upya kabisa na hautasimama kwasababu zozote zile.
Ya warioba muachie warioba
Yale Yale ya "Atake asitake"!!

Wenye AKILI hatutakubali ya 2020 yajirudie.
 
Back
Top Bottom