Umeongea point' Ila tatizo lako sijawahi kuona ukikosoa, we ni wa kusifia kila kitu. Yaani kila kitu unasifia. Inawezekana vipi hujawahi kuona upungufu au kosa ukakosoa kwa hekima?Rais ni moyo wa Nchi Lazima ulindwe sana
Vumilia tu
Umeongea point' Ila tatizo lako sijawahi kuona ukikosoa, we ni wa kusifia kila kitu. Yaani kila kitu unasifia. Inawezekana vipi hujawahi kuona upungufu au kosa ukakosoa kwa hekima?
Sijawahi kutana na comment yako ya kukosoa au kurekebisha. Huwa najiuliza unaweza vipi?Sio kweli Mkuu
Mimi nakosoa sana t,sema sikosoi kwa kufuata mkumbo
Sijawahi kutana na comment yako ya kukosoa au kurekebisha. Huwa najiuliza unaweza vipi?
Hivi weee pimbi Kuna thread inayohusu serikali ikakupita Yani kila kitu kusifia tu Hadi unakeraRais ni moyo wa Nchi Lazima ulindwe sana
Vumilia tu
OkSio kweli Mkuu
Alivyo haribu uchaguzi wa mitaa na vjijiAmeenda kutubu??
Chaguzi... ... ...Hivi weee pimbi Kuna thread inayohusu serikali ikakupita Yani kila kitu kusifia tu Hadi unakera