kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,054
- 170
- Thread starter
- #21
hiyo ni chanjo si tiba mkuu wangu.ugua ndui leo hii uone kama kuna dawa.kwa kuongezea ndui haiko kwenye kundi la magonjwa sugu.hakuna ugonjwa usiotibika!ugonjwa uitwao NDUI uliua watu theluthi moja duniani hatimae chanjo ikapatikana angalia kwenye bega lako kuna alama kama ya kidonda roundish hiyo ni chanjo ya ndui kila mtanzania anayo!