Hela itawafanya watumwa, why?
Nikikumbuka na false alarm ulompa lekchara akataka kujilipa nadhani napata picha pana zaidi.
Unapenda kutumia watu kwa jinsi ya kike ila unakuwa hujajua where to stop.
shauri yako mdada utakuja kujuta kama ulijua hamuendani y ulikubalia?ndo nataka kupiga chini alafu sasa hatuendani kabisaaaa ingawa anatoa mpunga kishenzi!!!!
Me kwangu niliuona ni urafiki wa kawaida tu ingawa baadae jamaa alikuwa anaonesha kutaka mzigo......
Kwakweli nilikuwa nazila pesa zake lakin sasa mwenzangu akipiga cm mara aniite wife na vijimambo vingine....
Sasa nataka nimpotezee jamani,maana lengo lake kwangu ndoa.
shauri yako mdada utakuja kujuta kama ulijua hamuendani y ulikubalia?
Duuh itakuwa ni balaaa......ila na iwe maana nimejaribu nimeshindwa!!!!
kukosya ehson isaga kuno
Ulikubali kuvipokea dada mpokee pia huyo mtoaji. Kama ulikuwa unafunga macho ukipokea, hata sasa funga macho umpe vyake ulivyoficha. Tena faster sana
Nimejitahid nimeshindwa.....jamani huyu mtu hata ingekuwa wewe una dada usingekubali hebu jaribuni kunielewa!!!!
Uswege kikolo......lol,ntikwandilamo kangi mweeeh teh teh!!!!!!
Nipo serious nkamu......mshiko ulinichanganya alafu nikawa nampiga tarehe lakin naona mwenzangu ndo anataka kuuchukua mzigo.
Simpendi sio serious
Nipo serious nkamu......mshiko ulinichanganya alafu nikawa nampiga tarehe lakin naona mwenzangu ndo anataka kuuchukua mzigo.
Simpendi sio serious
Mdogo wangu umetutia aibu lol! Ningekuwa karibu ningekufinya hiyo mbunye! Uroho gani huo? Pesa unakula halafu hakuna returns lol! Umemuonea mchaga wa watu.
Nimechukia siyo siri, kama huna malengo na mtu usimpotezee muda na resources zake.
Yaani ukimuacha uta search ndoa wewe mpaka kwa kalumanzila. Fikiria mara 2!