Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Ngoja niongee tena...kwanza mimi napita huku naona jina lako...nlikuwa naona una busara kweli kumbe hamnazo kabisa....im no person lakini nachukia sana wanawake cheap minded...unamwacha mtu paka anakuita mke kwa sababu ya hela....who know mtu kama wewe hata ukiolewa na jamaa akawa akatetereka kidogo...utaliwa nje kwa sababu ya hela.... coz ndo inner mind uloyo nayo....HASARA KWELI...
 
Sijawahi hata kumbusu sembuse hilo dushelele.....yaani akiniita sehemu nanyoosha mkono nachukua changu then nasepa.Labda damu yangu haiendani!!!!

OMG....!!! Ama hakikika kua uyaone....
Atakukukodishia watu wakubake weweeee..
 
Ngoja niongee tena...kwanza mimi napita huku naona jina lako...nlikuwa naona una busara kweli kumbe hamnazo kabisa....im no person lakini nachukia sana wanawake cheap minded...unamwacha mtu paka anakuita mke kwa sababu ya hela....who know mtu kama wewe hata ukiolewa na jamaa akawa akatetereka kidogo...utaliwa nje kwa sababu ya hela.... coz ndo inner mind uloyo nayo....HASARA KWELI...

Kuniita mke sio kunibadili jinsia......mwache aite tu.
Pamoja na hela zake lakini hajanilala na hanilali kwakuwa simpendi......,sitaki kuolewa nae kwakuwa simpendi na nisije kuharakisha nikaanza kujuta na kutoka nje ya ndoa yangu(Busara)......!!!!!!
 
Me kwangu niliuona ni urafiki wa kawaida tu ingawa baadae jamaa alikuwa anaonesha kutaka mzigo......
Fine, alipoonesha kutaka mzigo wewe ulionesha msimamo gani?
Je ulitoa jibu la hapana, ulikaa kimya na kuendelea kufuja mali zake au ulikubali?

Kwakweli nilikuwa nazila pesa zake lakin sasa mwenzangu akipiga cm mara aniite wife na vijimambo vingine....
Mosi, kwa wenye ufahamu kidogo wa saikolojia wakisoma hayo maneno hapo juu...ni wazi watajua nia yako kubwa kwa huyo mwanaume ilikuwa ni moja tu...nayo ni kutatua shida zako za kiuchumi.
Pili, kuna kila dalili kuwa ulimpa go ahead ndio maana hakusita kutoa hela wala kuacha kukuita majina matamu matamu...

Sasa nataka nimpotezee jamani,maana lengo lake kwangu ndoa.
Sina ushauri kwa hili, zaidi nitakuambia tu 'kwa mlango ule ulioingilia basi tokea huo huo...'
Umeshusha thamani yako ya uanamke...na sioni ajabu kama mtu yoyote hapa jamvini akikupachika jina la fisadi kiwembe au fisadi wa mapenzi.
 
OMG....!!! Ama hakikika kua uyaone....
Atakukukodishia watu wakubake weweeee..

Sasa hanivutii jamani.....nitafanyaje nimpende?yaani sielewi ujue,ushawahi kutokuwa na hisia na mtu????
 
Kuniita mke sio kunibadili jinsia......mwache aite tu.
Pamoja na hela zake lakini hajanilala na hanilali kwakuwa simpendi......,sitaki kuolewa nae kwakuwa simpendi na nisije kuharakisha nikaanza kujuta na kutoka nje ya ndoa yangu(Busara)......!!!!!!
.....Hujanielewa.....nachokushangaa hukuona tatizo kuchukua hela yake huku humpendi....au ulikua au unatamaa ya hela sana....na kama ndo hivyo...huoni kwamba hata ukiolewa na unayempenda unaweza kuuza utu wako na ndoa yako kwa sababu ya tama ya hela.....mbona vyuo vya siku hzi naona kama vinatoa watu wanaoshidwa kupambanua mambo sawa sawa...
 
.....Hujanielewa.....nachokushangaa hukuona tatizo kuchukua hela yake huku humpendi....au ulikua au unatamaa ya hela sana....na kama ndo hivyo...huoni kwamba hata ukiolewa na unayempenda unaweza kuuza utu wako na ndoa yako kwa sababu ya tama ya hela.....mbona vyuo vya siku hzi naona kama vinatoa watu wanaoshidwa kupambanua mambo sawa sawa...

Nilihisi mambo yangejiset lakin kila siku zinavyozidi kwenda ndo nazid kumchukia huyo jamaa....Labda kwakuwa hana kauli ndio maana!!!!!
 
Namhurumia huyo jamaa!kweli penye miti hamnaga wajenzi! Skia,inavyoonesha umepata kijamaa kingne wewe! So usiendelee kumpotezea muda mkaka wa watu muache kwa njia yoyote ile atapata wa kumpenda!
 
Nilihisi mambo yangejiset lakin kila siku zinavyozidi kwenda ndo nazid kumchukia huyo jamaa....Labda kwakuwa hana kauli ndio maana!!!!!
....Nyie wanawake wa sasa hivi ninyi....mnamatatizo makubwa sana ya fikra na kuchanganua mambo...na hata ule uwezo wa kufanya decision kubwa kubwa kwenye maisha umepungua sana...its too bad....!!!!h hivi wewe si ndo ulikuwa na case na lecturer..?
 
Mdogo wangu umetutia aibu lol! Ningekuwa karibu ningekufinya hiyo mbunye! Uroho gani huo? Pesa unakula halafu hakuna returns lol! Umemuonea mchaga wa watu.
Nimechukia siyo siri, kama huna malengo na mtu usimpotezee muda na resources zake.
Yaani ukimuacha uta search ndoa wewe mpaka kwa kalumanzila. Fikiria mara 2!
 
miss strong
.... hivi wewe si ndo ulikuwa na ishu na lecturer kweli!
.... hivi wewe si ulikataa lecturer asikutende, asitumie nafasi yake, cheo chake kukuharibia maisha yako.... mpaka ukaileta ishu humu jamvini, watu wakakuhurumia, wakakupa maushauri ya busara.
.... kwa nini wewe unaamua kumtumia kijana wa watu, unacheza na hisia zake namna hiyo, kisa mpunga!

Sista, kweli hizi ID fake zina mambo...
Ila kwa mtizamo wangu umeharibu, yaani duuuuuh!
 
Last edited by a moderator:
Namhurumia huyo jamaa!kweli penye miti hamnaga wajenzi! Skia,inavyoonesha umepata kijamaa kingne wewe! So usiendelee kumpotezea muda mkaka wa watu muache kwa njia yoyote ile atapata wa kumpenda!

Sina hata mtu Munkari......ila jamaa kila siku zinavyokwenda nazidi kutompenda yani kwakweli hata mimi namuhurumia.
Ndo nitamwambia tu ila aujue ukweli hatuendani labda ataendana na mwingine!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom