Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Ndugu yake akisoma hapa lazima aseme wewe ni kumbavu tu.
 
HAHAHAAAAAAAAAAA eti aonje imekuwa chumvi hio,,,,,LOL miss strong
 
Last edited by a moderator:
..........watu kama ninyi hamna mbio kwenye mchanga....... wewe mwache halafu keshokutwa tutakuona humu jaman I need a serious Husband .......ohh ni PM mnajifanyaga kama wa maana kumbe hamna lolote!by the way mwanaume hata uwe mbaya vipi utaoa tu/utapata mwanamke wa kuishiii naye bt kwa taarifa yako ninyi wadada mkifika 29 ikiwa bilabila ndio hapo mnapoonaga manyoya na unaanza kuzeeeka mapema kwa stress; wakati wadada wenzako wanalilia kuolewa.... eti wewe unajifanya unachagua???????????wewe unauwezo wa kuchagua??????ngoja MENOPAUSE ikukute ukiwa unatoaaa macho labda uendeee bagamoyo au Tanga......
sio kila mwanamke ni lazima aolewe....and by any means akitaka ana hiari ya kuolewa na anayemtaka sio mtu yeyote tu.....kama ni hela mwache azitoe mbona kanisani tunatoa lol ukisema menopause ina maana waliolewa hawatakumbwa na hio dhahma au?...nimeona mahali nadhani yahoo news wanawake waliolewa au walio kny long term relationship wanazeeka haraka kuliko wanawake walioamua kuwa single
 
Mgirik ujhe myeeee......huo ndo ukweli simpendi jamani nimejitahidi kujifunza kupenda nimeshindwa kabisaaaa!!!!

Pesa ni jambo la kawaida si kanipa mwenyewe kwani nilimuomba????
 
Last edited by a moderator:
Umefika wakati wa kulipa ndio unaanza visa,pole sana sema nae anaweza kuelewa Hisia zako binadam tupo tofauti bana,
 
miss strong:nilikuwa migombani baada ya kusikia kelele kitaa nikaona isiwe taabu nitoke tu nione kunanini? Kumbe ni wewe wapigiwa mbinja...?

Yaani eti niolewe nae hivyo hivyo!!!!!lol siwez maana nimejitahid lakin nimeshindwa......acha tu iwe hivyo hivyo!!!!
 
Last edited by a moderator:
umeandika AKITAKA AMCHUKUE YEYE KAMA ANASIKA UCHUNGU,ndio lugha nilio shindwa kuielewa
 
Back
Top Bottom