Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Mwambie ukweli tu usimfiche kitu, ila mueleze kwa lugha nzuri atakuelewa tu hata km itachukua muda, huna haja yakuendelea kumpotezea muda wake na wewe kupoteza wako pia. Mapenzi hayalazimishwi. ila ukome kupenda kula vya watu, siku moja vitakutokea puani!
 
Heaven on earth kuna watu ukiwaangalia mitiririko yao utasema weee...mambo hayo huyu hana! Kama ni ushauri atakushaurijeeeeee! Naanza kuamini kwamba watu wengi walio sensitive kwenye mambo makubwa makubwa wanakuwa incapable kwenye tumambo tudogo tudogo!
 
Last edited by a moderator:
Me kwangu niliuona ni urafiki wa kawaida tu ingawa baadae jamaa alikuwa anaonesha kutaka mzigo......
Kwakweli nilikuwa nazila pesa zake lakin sasa mwenzangu akipiga cm mara aniite wife na vijimambo vingine....
Sasa nataka nimpotezee jamani,maana lengo lake kwangu ndoa.

Fanya kitu chenye hekima. Nina imani hizo hela unazikumbuka. Ebu zama fasta sehemu, umrudishie hela zake ili uwe salama, othewise atakufanya kitu mbaya. Hata ingekuwa wewe, uhudumie halafu mtu aingie mitini ki hivyo! ACHA UTANI MAMIE!
 
Heaven on earth kuna watu ukiwaangalia mitiririko yao utasema weee...mambo hayo huyu hana! Kama ni ushauri atakushaurijeeeeee! Naanza kuamini kwamba watu wengi walio sensitive kwenye mambo makubwa makubwa wanakuwa incapable kwenye tumambo tudogo tudogo!

we acha tu.......,kina mda unawaza huyu si ndio siku zote huwa strong
anatoa ushauri wa kufa mtu sema mdio hivyo tena
 
Kuniita mke sio kunibadili jinsia......mwache aite tu.
Pamoja na hela zake lakini hajanilala na hanilali kwakuwa simpendi......,sitaki kuolewa nae kwakuwa simpendi na nisije kuharakisha nikaanza kujuta na kutoka nje ya ndoa yangu(Busara)......!!!!!!

humpendi mbona na pesa zake hukuzichukia
watu wengine wanawafilisi watoto wa wenzao na kuja na kigezo cha kutokupenda
mie kama sikupendi na "pesa zako zinanuka" bora niridhike na nilichonacho
au jamaa anchungulia kaburi (filisika) unatafuta kigezo cha kumtema
 
humpendi mbona na pesa zake hukuzichukia
watu wengine wanawafilisi watoto wa wenzao na kuja na kigezo cha kutokupenda
mie kama sikupendi na "pesa zako zinanuka" bora niridhike na nilichonacho
au jamaa anchungulia kaburi (filisika) unatafuta kigezo cha kumtema

Hata hajafilisika ila ndo hivyo.....ndani ya miaka hiyo mitatu hata miez 7 tunakuwa hatujaonana anatuma pesa na anasema yakunisaidia shule sasa nifanyeje jamani!!!!
 
Fanya kitu chenye hekima. Nina imani hizo hela unazikumbuka. Ebu zama fasta sehemu, umrudishie hela zake ili uwe salama, othewise atakufanya kitu mbaya. Hata ingekuwa wewe, uhudumie halafu mtu aingie mitini ki hivyo! ACHA UTANI MAMIE!

Sio utani mamie Caroline Danzi na pesa yakulipa sina zaidi ya dua!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kama hukumuahidi chochote , chapa lapa .

Usiingie kwenye mahusiano na mtu
Ambae humpendi na hutakuwa na time nae .

Maana baada ya muda utajutia .
 
huyu anachangamsha genge hapa..hakuna lolote..mnajichosha tu kumpa mtu ushauri na story hewa
 
Kama hukumuahidi chochote , chapa lapa .

Usiingie kwenye mahusiano na mtu
Ambae humpendi na hutakuwa na time nae .

Maana baada ya muda utajutia .

afrodenzi hapo hata mimi ndo nafikiria......ntafanya maamuzi magumu tu!!!!
 
Last edited by a moderator:
afrodenzi hapo hata mimi ndo nafikiria......ntafanya maamuzi magumu tu!!!!

Aaahaa kumbe ni wewe ndo unaesababisha bro kamtelekeza sister angu ? na ulivo shingo ndefu naenda muonyesha hii sredi yko! aisee we Snura kweli,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom