Decapitator
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 311
- 79
WOMEN...................... MEN AINT ATM MACHINES....... PLEASE!!.
Arrrrrgh!
Arrrrrgh!
na ulivyo mnafki sasa.....!! mkono unaunyoosha tu kuchukua pesa zake!!!!!!yaani simpend hata kidogo....yaani akitamka I lov u kama anasema i hate u!!!!!Majanga
Hela itawafanya watumwa, why?
Nikikumbuka na false alarm ulompa lekchara akataka kujilipa nadhani napata picha pana zaidi.
Unapenda kutumia watu kwa jinsi ya kike ila unakuwa hujajua where to stop.
Bora useme wewe mkuu. Hawa ndio wasomi wetum wa miaka hii. Ukifuatilia threads zake utakuta ana foleni za wanaume afu wote wana matatizo.Huyu bidada aidha ni kilaza BIG TIME au anaangalia upepo wa jamvi unaendaje. Jumapili saa nyingine huwa zinakuwa pweke sana mjue.
Hebu nifanyie uchunguzi kwenye threads zote za miss strong afu uniambie ana wanaume wangapi kwa miaka mitatu iliyopita.
Kama kweli ndio bado yuko chuo, atakayekuja kuoa ana kazi sana.
Hawa mabinti wa siku hizi acha kabisa.
na ulivyo mnafki sasa.....!! mkono unaunyoosha tu kuchukua pesa zake!!!!!!
hivi hujaona mwenzio alietobolewa koromeo!!!!!!!!!????
jiandae na wewe sasa siku yakitibuka!!!
yani ahudumie weeeeee halafu waje wale wengine??????????
impossible under the sun!!
hahahaaa! soma hii "i am sorry ndugu...lol!... sitarudia tena mweeeh... teh teh!!!"Mashemeji zangu GreenCity na bombom bila kumsahau mwenye kigoda Baba V na mpambe nuksi Bujibuji naombeni dikshenari ya kinyakikishi hapa fasta. Naona hii nyumba ndogo yangu miss strong inanipoteza kabisa frequency.
Ndo nataka kupiga chini alafu sasa hatuendani kabisaaaa ingawa anatoa mpunga kishenzi!!!!
usiniulize tena kwanini nakupenda !Hela itawafanya watumwa, why?
Nikikumbuka na false alarm ulompa lekchara akataka kujilipa nadhani napata picha pana zaidi.
Unapenda kutumia watu kwa jinsi ya kike ila unakuwa hujajua where to stop.
simple rules zinazoongoza maisha..ushakula vya kutosha..mpe mchagga wa watu nae afaidi tunda....then you what..nipm mm 1701 in our relationship hatajua mtu kasoro mwili wangu..hata akili yangu haitajua..kuhusu hela nadhani umeshiba za mangi
Hakuna aliyewahi kutosheka na pesa.......
Ameeeen.Ushindwe wewe pepo mbaya unayemsumbua BujibujiHee!! kumbe ndio michezo yenu huko unyakilishini kuwekana kwenye vyupa? walahi mimi haniwezi hata siku moja kunitumbukiza kwenye kyupa aisee, labda niwe nimesahau kula kichuri siku hiyo.
Mama watoto wangu mwaJ na binti yangu mpenzi Zion Daughter wanafanya sana ibada kiasi ambacho hawawezi kutumbukizwa kwenye chupa.