Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

mabinti jamani kuweni makini huko vyuoni, tumechoka kuona visasi na mauaji ya kutisha kwa sababu kama hizo, ebu mgeukie Mungu mdogo wangu, utakulaje hela kwa mtu usiyempenda? kama humpendi na pesa zake usipokee yasije kukupata ya kukupata, dunia imeharibika, mgeukie Mungu atakuongoza katika kila jambo
 
mabinti jamani kuweni makini huko vyuoni, tumechoka kuona visasi na mauaji ya kutisha kwa sababu kama hizo, ebu mgeukie Mungu mdogo wangu, utakulaje hela kwa mtu usiyempenda? kama humpendi na pesa zake usipokee yasije kukupata ya kukupata, dunia imeharibika, mgeukie Mungu atakuongoza katika kila jambo

Asante dada Aine.....nilijua kama kaka tu!!!!Baadae mambo ndo yananigeukia
 
Last edited by a moderator:
Asante dada Aine.....nilijua kama kaka tu!!!!Baadae mambo ndo yananigeukia

miss strong tafadhali! ha ha ha eti kama kaka tu...wewe acha hizo. Look, I respect the fact that umekuwa ukitumia mpunga wake akikutumia. Nakuunga mkono hukukosea kwani hukumuomba wala kumlazimisha, kaleta mwenyewe. ----- wa migombani huyo shauri yake. Wanasema when u come across a fool get all that u can get. Tatizo umenogewa na mpunga lakini papuchi hutaki kumpa. Bwashee wa watu kapagawa anatangaza ndoa masikini kumbe wewe huna feelings naye. Kama nilivokushauri mwanzo, muache kaka wa watu haraka sana. Itamuuma lakini atazoea, wanaume wengi tumepitia issue kama hizo but we stood up, dusted off our knees and marched on. But the longer you wait the more painful it will be for him. Watu wamepinda, anaweza kukufanya kitu mbaya sana. Boomerang effect! what goes around comes around remember
 
Commanche mbona leo ndo namtolea uvivu liwalo na liwe bwana!!!!
 
Last edited by a moderator:
mi nahisi upuuzi wako na upeo wako mdogo ndo umekufikisha hapo....umelikoroga hlo
 
ha!ha!ha.

Hata kama magunzi yatatiisha kiu hayana wallet! Na ndio pointi ya msingi hapa!

Hivi ukimsaidia mtu ndo unataka kumuoa????ndoa na msaada vinaendana eeh???sikumuomba alinipa mwenyewe nkajua bro tu kaamua kumbe lol!!!!!
 
miss strong ndani ya hiyo miaka mitatu, unasema hujawahi kufanya nae hata mara moja, hukuwa na mtu mwingine?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom