Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Hivi unaposema hamuendani unamaanisha nini vile! Je wakati unaanza kuintaract naye uliliona hilo au umeliona baada yakupata ulichotaka? Mada kama hizi ndizo zinasababisha utu wa mwanamke wakiafrica uzidi kudharaulika. Kama mtu humpendi na huna hisia naye kwanini usimwambie on the spot ili mwenyewe achague kusuka au kunyoa? Kweli bado hata elimu tunayopata haituletei ukmbozi wa fikra. Kuna umuhimu waku restructure mitaala yetu!


Sina hata mtu Munkari......ila jamaa kila siku zinavyokwenda nazidi kutompenda yani kwakweli hata mimi namuhurumia.
Ndo nitamwambia tu ila aujue ukweli hatuendani labda ataendana na mwingine!!!
 
siku utakayomwaga ndio utajua. Acheni kucheza na mioyo ya watu nyie viumbe!
 
Habari zenu JF........
Nina mahusiano ya kawaida tu na kijana mmoja wa kichaga ambaye ni mfanyabiashara yapata miaka 3 sasa.

Anatoa huduma zote kwangu kasoro tu dushelele lake ndo silihitaji maana sina hisia zozote jaman za mapenzi kwake (toka moyoni) ki ukweli.

Kwanzia mwaka jana jamaa anaulizia ndoa me namwambia subir nimalize chuo,kwakweli nataka kumuacha huyu mtu ila sijui nitumie njia gani.(pesa ilinoga)

Pia kinachonikera jamani jamaa huyu anatangaza maeneo ya hom kwamba me ni mtu wake tena kwa vitendo.......
Ukiongea nae kwenye simu anakwenda eneo la watu wanaonifahamu basi ananitaja jina kwa jina......

Nikitoka hom akiniona tu bas atapiga simu mbele za watu......eeeh hallo nakuona ndo unatoka mke wangu,bora tukakutane mbele kwa mbele huku wazushi wengi lol!!!!!!

Sina raha kabisaaaaa na huyu mtu zaid ya zile pesa lakin sasa baaaassssiii sitaki tena maana mpaka sisimizi nahis anasimuliwa.

Aliniambia anavumilia mpaka ndoa ila akigundua kuna mtu anakula mzigo basi atafanya kitu mbaya.

Ennie njoo ujionee huku hili balaa.......Naombeni ushaur nimwambieje jaman maana mwenzangu katangaza kwao kote,tena wamepanga harusi itakuwa Moshi na ndoa kabla ya kombe la dunia teh teh? teh.....

lara 1 Heaven on earth Munkari, Kaizer, christine ibrahim, Baba V, Madame B, watu8, Nivea, Mamndenyi, Mshinga, wakyagara wakinyora, neggirl, Ablessed, GreenCity na wengineo wote jamani...........

Ujiandae kumrudishia na mkwanja wake!! We unakula vya wenzio na hutaki vyako viliwe?
 
siku utakayomwaga ndio utajua. Acheni kucheza na mioyo ya watu nyie viumbe!

Una uhakika gani kama moyo wake unanipenda????au ukisikia pesa bas unaona ni moyo!!!!!
 
Yeah, lakini ulikuwa unapokea kila ukipewa? Kama hutaki si ungeacha? We subiri siku utakapo katwa hiyo papuchi yako ndiyo akili itakukaa sawa!
 
Yeah, lakini ulikuwa unapokea kila ukipewa? Kama hutaki si ungeacha? We subiri siku utakapo katwa hiyo papuchi yako ndiyo akili itakukaa sawa!

Sitaki?kuna mtu ambae hataki pesa??
 
Lakini si unajua ukikubali kula vya watu na wewe lazima uliwe kidogo ama sana tu,sidhani kama jamaa anatoa huduma burebure tena mchaga haya ngoja wengine waje
...kwani wachaga hawatoagi vya bure,eti cc:Mentor
 
my dear hat sikushauri kuwa na mtu ambae hujampenda ....cha msingi kata mawasiliano tu no way,unless uwe tayri kulipia....
 
Habari zenu JF........
Nina mahusiano ya kawaida tu na kijana mmoja wa kichaga ambaye ni mfanyabiashara yapata miaka 3 sasa.

Anatoa huduma zote kwangu kasoro tu dushelele lake ndo silihitaji maana sina hisia zozote jaman za mapenzi kwake (toka moyoni) ki ukweli.

Kwanzia mwaka jana jamaa anaulizia ndoa me namwambia subir nimalize chuo,kwakweli nataka kumuacha huyu mtu ila sijui nitumie njia gani.(pesa ilinoga)

Pia kinachonikera jamani jamaa huyu anatangaza maeneo ya hom kwamba me ni mtu wake tena kwa vitendo.......
Ukiongea nae kwenye simu anakwenda eneo la watu wanaonifahamu basi ananitaja jina kwa jina......

Nikitoka hom akiniona tu bas atapiga simu mbele za watu......eeeh hallo nakuona ndo unatoka mke wangu,bora tukakutane mbele kwa mbele huku wazushi wengi lol!!!!!!

Sina raha kabisaaaaa na huyu mtu zaid ya zile pesa lakin sasa baaaassssiii sitaki tena maana mpaka sisimizi nahis anasimuliwa.

Aliniambia anavumilia mpaka ndoa ila akigundua kuna mtu anakula mzigo basi atafanya kitu mbaya.

Ennie njoo ujionee huku hili balaa.......Naombeni ushaur nimwambieje jaman maana mwenzangu katangaza kwao kote,tena wamepanga harusi itakuwa Moshi na ndoa kabla ya kombe la dunia teh teh teh.....

lara 1 Heaven on earth Munkari, Kaizer, christine ibrahim, Baba V, Madame B, watu8, Nivea, Mamndenyi, Mshinga, wakyagara wakinyora, neggirl, Ablessed, GreenCity na wengineo wote jamani...........

nipm nikupe mbinu ni rahisi sana
 
Last edited by a moderator:
my dear hat sikushauri kuwa na mtu ambae hujampenda ....cha msingi kata mawasiliano tu no way,unless uwe tayri kulipia....

atakulaje vya wenzie asiliwe?huyo jamaa ni ----- 3 years mzigo wanakula wengine ye anaprovide
 
Back
Top Bottom