Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

dushelelele teheteheteheteheeeee, mimi naona unampenda coz mtu usie mpendahata pesa yake huwezi kuitamani, sasa wewe pesa unapokea ila dushelele hulitamani duuuh. kwakweli kadri ninavyokuwa nayaona mengi sana humu duniani
 
dushelelele teheteheteheteheeeee, mimi naona unampenda coz mtu usie mpendahata pesa yake huwezi kuitamani, sasa wewe pesa unapokea ila dushelele hulitamani duuuh. kwakweli kadri ninavyokuwa nayaona mengi sana humu duniani

Sana ingawa mpaka tutapotoweka dunian hatutayaona yote......
 
Last edited by a moderator:
Mwita Maranya, pole sana, huyu miss strong anasema kisha kuweka kwenye chupa, wewe, mkeo mwaJ, mwanao Zion Daughter na ndugu zako wote wa Musoma mnahema juu juu ndani ya chupa, sijui ni nani atakaye waokoeni.
Labda umuombe Mtambuzi awe Mesiya wako

Hee!! kumbe ndio michezo yenu huko unyakilishini kuwekana kwenye vyupa? walahi mimi haniwezi hata siku moja kunitumbukiza kwenye kyupa aisee, labda niwe nimesahau kula kichuri siku hiyo.

Mama watoto wangu mwaJ na binti yangu mpenzi Zion Daughter wanafanya sana ibada kiasi ambacho hawawezi kutumbukizwa kwenye chupa.
 
Last edited by a moderator:
Ndo nimeliona hilo mkuu wangu Kongosho yaani simpend hata kidogo....yaani akitamka I lov u kama anasema i hate u!!!!!Majanga

sijawahi ona mtu anachukiwa kiasi hiki kisa tu hayupo moyoni kwako, we jikaze mwambie kama unaogopa atachukia; mi naona hiyo ni haki yake kuchukia sababu kwangu mimi inaonesha ulimtumia mwenzako hadi humuhitaji tena wakati yeye alikuwa serious ambayo kwa kuandika hivi inakuja point kwamba una tamaa! Dah namwonea huruma huyo jamaa kukutana na mtu asiye na moyo kama wewe lakini kumbuka " usipende na kutumaini vya mbali sana kiasi ukasahau kuona na kuwa na ambacho ni kizuri kilicho tayari karibu yako"
 
Mume wangu nakupenda Mwita Maranya ndio maana huyu mchaga simtaki na baadh ya vitu nilivyokuwa nakununulia ni pesa yake!!!!Naomba Bujibuji ulijue hilo!!!!

Maweeeee miss strong kumbe ulikuwa unanilisha "najisi"? yani ulikuwa unaniongopea kwamba umecheza upatu kumbe zilikuwa zinatoka kwa mchaga zinapitiliza kwangu? Ntazitapika mimi ujue!?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Tapika njurungu zake kwanza halafu utangaze kujiengua kiaina , ila kama roho yako inatamani faranga zake ujuwe ndoa au mimba i karibu.
 
Hee!! kumbe ndio michezo yenu huko unyakilishini kuwekana kwenye vyupa? walahi mimi haniwezi hata siku moja kunitumbukiza kwenye kyupa aisee, labda niwe nimesahau kula kichuri siku hiyo.

Mama watoto wangu mwaJ na binti yangu mpenzi Zion Daughter wanafanya sana ibada kiasi ambacho hawawezi kutumbukizwa kwenye chupa.
Wao na ibada zao wote wamo ndani ya chupa
 
Hee!! kumbe ndio michezo yenu huko unyakilishini kuwekana kwenye vyupa? walahi mimi haniwezi hata siku moja kunitumbukiza kwenye kyupa aisee, labda niwe nimesahau kula kichuri siku hiyo.

Mama watoto wangu mwaJ na binti yangu mpenzi Zion Daughter wanafanya sana ibada kiasi ambacho hawawezi kutumbukizwa kwenye chupa.
Baba watoto Mwita Maranya bora uwaambie. Sisi ni watu wa mwanga nguvu ya giza haitupati.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hela yangu umekula umeamua kuja kunianika huku?kumbe una mbinu za kuniacha????kama unajifanya KIBAKA MI NI KIBAKA ZAID YAKO,SUBIRIIII!
 
Mwita Maranya, kwa taarifa yako miss strong sio Mnyaki ni Mnyasa. Hebu ona tukio lake current alilopiga kwao hivi karibuni
Malawian man gang raped by four women in Lilongwe | Malawi Nyasa Times - Malawi breaking news in Malawi

Kitu ambacho nimekuja kugundua ni kwamba nawapenda sana na ninawamudu wanawake wababe kwahiyo dada yako hata awe nunda kiasi gani lakini akiwa mikononi mwangu anakuwa mpole kama hua. Sasa kazi ni kwenu kwa wasiopitia jandoni mambo haya mtayapata wapi?
 
Last edited by a moderator:
Ngwisa ku myako jho ugwe nngukughanile fijo....!!!!ndo unamwambia hivyo ili uniharibie ndoa yangu????Mume wangu Mwita Maranya no one like you miaka 800 kama mapanga nipige,ndo ishara ya upendo..... Bujibuji ujhe ngenge(maso)
miss strong naona dalili za wazi kabisa za kutaka kunigeuza mchaga aisee hebu tumia dikshenari ya kinyakilishi unapokuwa unaniteta na huyo kaka yako Bujibuji. Vinginevyo ngastuka fijo na lori!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom