Hata kama una haki....

Hata kama una haki....

"..Mwambieni Magufuli Tutanyamaza Tukiwa Wafu.." Tundu Lissu
Anayeua sio Magufuli...atakufa kama wanavyokufa wengine wote asitake kutafuta umaarufu
Idiot.jpg
 
Naam, hata yeye huu ujumbe unamhusu.

Katika viongozi ambao hawatumii busara wala kupima maneno yao ni Magufuli. Mbona haumuandikii ujumbe wa moja kwa moja kumkanya kama unavyomshambulia Lissu hapa. Au ndio muendelezo wa zilezile "double standards"? Au ni uoga tu na kujipendekeza kwa Magu? Magu anatuharibia nchi kwa "udikteta wake uchwara"....huo ndio ukweli.
 
Mnaoshadadia huo utumbo wa Lissu Serikali kususiwa msifikiri ikisusiwa Magufuli atakosa lolote, narudia vijana angalieni siyo kila jambo ni kushangilia tu kisa limesemwa na unaempenda sana, kwa wale mnaotembea duniani humo mkifanikiwa kufika Harare mtaona maisha ya pale na mjiulize baada ya maisha yale Mugabe kakosa nini na familia yake, maneno kama ya Lissu ni ya kupingwa na kila mwenye akili timamu, ukiwaza chama chako peke yake utashindwa kutumia bongo kufikiria otherwise endeleeni kushadadia ujinga. Tanzania ikisusiwa kiuchumi inamaana pamba, kahawa, madini, katani, korosho na mazao mengine yanafungiwa kuingia ktk soko la dunia sasa jiulize Magu analima kweli hayo mazao? Unafikiri kama huyo mnaesema asusiwe halimi wala hachimbi dhahabu atakaeathirika siyo baba, mama, shangazi au mjombaako...Think twice unaweza kushadadia lkn mwisho ukaĺia wakati Magu anakula pensheni yake, Magu tumsemeni lkn kwa staha huku Utaifa ukiwekwa mbele kama tai

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nn nyie hamtaki kufuata [HASHTAG]#katiba[/HASHTAG] ili yaishe???
Lissu anashinikiza mfuate katiba, yamewashinda??? Kwamba ni bora msitishiwe misaada ila katiba muiweke pembeni eee????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nn nyie hamtaki kufuata [HASHTAG]#katiba[/HASHTAG] ili yaishe???
Lissu anashinikiza mfuate katiba, yamewashinda??? Kwamba ni bora msitishiwe misaada ila katiba muiweke pembeni eee????

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona uelewa wako mdogo sana kama panzi kama siyo Nyumbu....unaamua kutuita nyie wewe unajiondoa ukifikiri hilo unaloshadadia likibuma halikuhusu, hata kina Tsavangirai wakat wanapiga debe Zimbabwe itengwe waliwaita watawala nyie wakijua Zimbabwe ikitengwa wao watakuwa salama lkn sasa kama siyo wao bas ndugu na jamaa zao wanateseka huku Mugabe akitanua kwa sana, sherehe dailly state house..fikiri kwa kutumia bongo yako acha kuitika kila nyimbo inayopigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toeni kwanza kibanzi kilichopo ndani ya jicho lenu ndipomtakapokuwa na uhalali wa kukisema kibanzi cha Lissu.
 
Anasahau hii Ibara ya 29 (5) ya katiba ya JMT ya 1977 ;

29.-(1) Every person in the United Republic has the right to enjoy fundamental human rights and to enjoy the benefits accruing from the fulfillment by every person of this duty to society, as stipulated under Article 12 to 28 of this Part of this Chapter of the Constitution. Art.6
(2) Every person in the United Republic has the right to equal protection under the laws of the United Republic.

(3) A citizen of the United Republic shall not have a right, status or special position on the basis of his lineage, tradition or descent.

(4) It is hereby prohibited for any law to confer any right, status, or special position upon any citizen of the United Republic on the basis of lineage, tradition or descent.

(5) In order that all persons may benefit from the rights and freedoms guaranteed by this Constitution, every person has the duty to so conduct himself and his affairs in the manner that does not infringe upon the rights and freedoms of others or the public interest.
Cha ajabu umeishia ku quote vipengele tu,hujawahi hata kushinda kesi yoyote kama wakili mahakamani. Ajabu sana

Tombatomba idevice Model TH 45
 
Back
Top Bottom