Hivi mkimuua mtapata faida gani.Na ndiko anakoelekea huyo Lissu wenu....kuwa mfu.
Hivi mkimuua mtapata faida gani.Na ndiko anakoelekea huyo Lissu wenu....kuwa mfu.
Usimtishie mtu kufa bana. Tunazaliwa siku moja na tunakufa siku moja pia. Kufa ni lazima, haijalishi unaishi vipi.Wewe utaishi mpaka lini?
Hamshindwi kituNa ndiko anakoelekea huyo Lissu wenu....kuwa mfu.
Huyu Lisu huko mbinguni anakujua?".Njia Rahisi Ya Kwenda Mbinguni Ni Kupinga Uonevu."Lissu
Usimtishie mtu kufa bana. Tunazaliwa siku moja na tunakufa siku moja pia. Kufa ni lazima, haijalishi unaishi vipi.
Sent using Jamii Forums mobile app
We utaishi mileleNa ndiko anakoelekea huyo Lissu wenu....kuwa mfu.
Kumbe anatafuta kuuliwa?Hivi mkimuua mtapata faida gani.
Sasa kwa nini ushabikie kuwa anatafuta kifo wakati kila mtu atakufa?Aliyezungumzia wafu ni huyo Lissu.
Sasa kwa nini ushabikie kuwa anatafuta kifo wakati kila mtu atakufa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama tuna haki ya kuwasema wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakosoa wale wote tuliowapa mamlaka...
Hata kama tuna haki ya kuwakemea wale wote tuliowapa mamlaka...
Wewe Tundu Lissu wewe...kuwa tu na haki ya kufanya jambo fulani haimaanishi ndo ujitoe kabisa fahamu na kuanza kuropoka ropoka kama mwendawazimu.
Kuwa tu na haki ya kusema, kukosoa, na kukemea haimaanishi ndiyo usitumie hekima na busara katika kufanya hivyo.
Ni lazima uwe mwangalifu. Ni muhimu kuchagua maneno yako vizuri hususan kama wewe ni mmoja wa viongozi wenye ushawishi kwenye jamii.
Kusema rais Magufuli anaendesha nchi kwa upendeleo wa kikabila na kikanda ni uongo. Ni uzushi. Na ulikosea.
Hata kama una haki ya kusema hayo uliyoyasema, huna haki ya kuzusha mambo ili tu ujipatie pointi za kisiasa.
Leo hii likitokea sokomoko kati ya wananchi wa kanda ya ziwa na wa kwingine kisa hayo maneno yako, utalizuia? Si ajabu utajificha kama ulivyojificha mahakamani kule Dodoma ukiogopa kupandishwa kwenye Difenda😀.
Kuwa na haki si sababu ya kuacha kuwa makini. Jirekebishe.
Kosa halihalalishwi na kosa ...JPM kuropoka sometimes ni kosa pia ....hao akina Lissu ndio walipaswa kuwa mfano wa hekima na busara ...aache kuropoka hovyo kwasababu tu ni haki yake ....
Usisikilize Bongo flava tu, vipi kuhusu 'muziki wa dansi'?
Kupinga uonevu si kuzusha mambo.
Yuko HURU ...mapambano yanaendelea!Kupinga uonevu si kuzusha mambo.
Lisu nilikua simuelewi ila sasa namuelewa sana usipomuelewa leo utamuelewa kesho, The guy is genius anatambua mambo mapema sana hata kabla wengi wetu hatujaona, Anafaa kutumiwa kama dira na mwenye mamlaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Magufuli alitutukana sana Wahaya, tena matusi ya nguoni , isitoshe akatufanyia dhuluma kubwa kwenye pesa zetu ambazo watanzania wenye huruma walituchangia.
Ipo siku........
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapata wapi uhalali wa kumkosoa wa pili na hujamkosoa wa kwanza wakati wamefanya kosa lile lile?Kosa halihalalishwi na kosa ...JPM kuropoka sometimes ni kosa pia ....hao akina Lissu ndio walipaswa kuwa mfano wa hekima na busara ...aache kuropoka hovyo kwasababu tu ni haki yake ....