Hata kama una haki....

Hata kama una haki....

Sema tu huna cha kujibu.

Umeumbuka

Pole.

Oh btw, ni 'sidhani'. Siyo 'sizani'.
Inaonekana Prof. hakujui nini? Aje huku tumpe ishu za "Logical fallacy" ajifunze na kukaa kimya. We ni Albert Einstein kabisa sema tu hukuzaliwa mapema
 
Ben si ajabu kapotezwa na Mbowe na CHADEMA yake....

Hata kuanzisha harambee kwenye GoFundMe mchangishe pesa za kutumika kumtafuta hamjafanya.

Aibu.

This is too low for you.
Acha mahaba mabaya. Kemea mahaba haramu.
 
Back
Top Bottom