Hata kama una haki....

Wewe utaishi mpaka lini?
Unaulizwa swali badala ya kujibu nawe unauliza tena swali? Hovyo kabisa. Hii ndio dalili inyoonyesha wewe ni mjinga na haufai hata kujadili mambo ya watu wenye akili kama Tundu Lissu, uliona wapi akili ndogo ikijadili akili kubwa?
 
Kwa hisani kutoka United Repulic of Mazezeta. watu wake utawatambua tu hata waishi abroad.
 
Rais Magufuli anendesha nchi kwa ukanda!
 
Mie nilijua huyu jamaa (Nyani ngabu) ni mtu wa maana.

Kumbe bure kabisa.

Umesahau yale maneno aliyoyasemaga yule mbunge wa Zanzibar kuwa nchi ya mapinduzi haichukuliwi kwa karatasi.

Mpaka leo namtafakari afu nashindwa kuelewa alikuwa anamaana gani.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Posti yako inanuka ukabila mno. Kwanza kabisa Magufuli sio msukuma. Na hata kama hayo yote aliyoyafanya ni kweli je kwani serikali imeacha kushughulikia miradi iliyopo sehemu nyingine nchini? Mbona uwanja wa ndege Dodoma unakarabatiwa hamsemi? Vipi na reli ya kati ya kiwango cha kimataifa? Yaani unataka kutuaminisha kuwa sasa hivi kila kitu kinafanyika kwa wasukuma tu?
 
Kwasababu Chato International Airport ni white elephant project.
 
Akifungwa mtasema kaonewa.
Atakuwa wa kwanza kufungwa? Au wa mwisho?Uzuri "malaika' hawafungwi.Sanasana wanatupwa motoni.Hovyo kabisa,mnameteta sio kwa lingine bali "homeboy",zamu yetu!
 
Hahahahahahhahahah pambafuuuu...mnajitekenya then mnacheka wenyewe.....hahabahahaah DISCO TOTO
Na yule mwingine hana haki ya kuita watu vilaza.

Pia hana haki ya kutoa kauli za udhalilishaji wa wananchi na zinazodhalilisha Taasisi nzima anayoitumikia.

Charity begins at home.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwasababu Chato International Airport ni white elephant.
Kisa ni International airport ndio imekua ishu ya ukabila na ukanda? Mbona sijawahi kusikia kuwa Kilimanjaro International airport nayo pia ilijengwa kwa sababu ya ukabila? Raisi wetu ana mapungufu makubwa sana lakini hili la ukabila halina ukweli wowote kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…