Eh jela ya jamii forum lazima kila mtu awe anasura mbaya humu shida huwaga nini??Ulitoroka jela mbona titanic ya kitambo sana?
Hata mimi naona hivyoo ila huo ndio mitazamo ta watumiaji wanao tumia wenzao nakusepaUkiwa huna majukumu ndo utazitilia maanani valentine na birthday.
45 tano wajukuu tisa na vitukuu 7 vilembwe 20Una umri gani?
Bado una safari katika swala zima la mahusiano. Wewe ni miongoni mwa wale usipopigiwa simu wala kutumiwa sms na boyfriend wako unanuna, ni miongoni mwa wale "Mbona mwenzangu amefanyiwa hivi wewe hunifanyii"Tusemeni ukweli eti una mpenzi halafu jana hajakutext wala hajakukumbuka kwa lolote .
ILIKUUMA pasuka tu pah na useme kwenye huu uzi uliumiaje?? Ili hata uishi kwa amani.
Yaani kila mtu alikumbukwa kasoro wewe utakuwa wewe ni wakupita hata haupo kwenye steji ya mchepuko.
Jana ilikuwaje hebu tujuze .
KivipEh jela ya jamii forum lazima kila mtu awe anasura mbaya humu shida huwaga nini??
Ila dipresheni 🤣🤣Mimi jana mwaya nilikuwa nimelala nawatch movie ya titanic mwishowe starring wakiume akafa wakike akabaki .
Bora umerudiAbee!
Mwanaume ukiwa na hela ata usipopostiwa haiumiii, ila mwanamke tegemezi aliye na bwana mwenye hela asipopostiwa roho inamuuma hatare anajua tuu bwana angu Kwa hela alizonazo lazma ana wanawake wengine ndo maana hajanipostTusemeni ukweli eti una mpenzi halafu jana hajakutext wala hajakukumbuka kwa lolote .
ILIKUUMA pasuka tu pah na useme kwenye huu uzi uliumiaje?? Ili hata uishi kwa amani.
Yaani kila mtu alikumbukwa kasoro wewe utakuwa wewe ni wakupita hata haupo kwenye steji ya mchepuko.
Jana ilikuwaje hebu tujuze .
UmemisikaKwani kulikua na nini hiyo siku??