Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 10,812
- 32,539
Ukirudi geto unajiloweka😅Jua la dar sio powa aisee linachoma hadi kichwani ikifika jioni vichwa vinawaka moto vibaya sana
Ukirudi geto unajiloweka😅Jua la dar sio powa aisee linachoma hadi kichwani ikifika jioni vichwa vinawaka moto vibaya sana
Nusu tuonane aisee na mie nilikuwa mitaa hiyo na mama abelJana nilikuwa maeneo ya small planet aiseee! Jua linawaka sio mchezo🥵
Bila maji ya baridi hautoboiUkirudi geto unajiloweka😅
Sasa si mngenipigia au hamtaki kuniona😂Nusu tuonane aisee na mie nilikuwa mitaa hiyo na mama abel
Inawezekana tulionana sema mambo mengi😀😁😁Sasa si mngenipigia au hamtaki kuniona😂
Inawezekana kabisa!Inawezekana tulionana sema mambo mengi😀😁😁
Unaandikaga marefu ila madini tupu!🙌🏾1. Hyo tarehe 14 feb, ni imani ya watu fulani hv, jana wengne walikuwa kanisani
-hz imani hazifanani
-hii imani asili yake ni RC, hvo siyo kila mtu ni muumumini wa mt. valentine
2. upendo upo siku zote bila hata tarehe 14 feb ya wakatoliki
3. kuna wengne hakuna upendo hata valentine day
4. jitahidini sana kuwajali wake zenu na wachumba wenu kila iitwapo leo ili kuepuka kusubiri kalenda ya kuwapenda.
5. usipotafutwa jitafakari ili kalenda yenu ya kupendwa ikifika mtafutwe
KUPENDWA, KUJALIWA, KUSAMEHEWA, KUPEWA SHUKRANI HUWA HAMNA KALENDA, BALI ANAYEKUPENDA ATAKUFANYIA HVO KILA IITWAPO LEO HATA KAMA KUNA CHANGAMOTO.
Bila shaka hii ni issue ya vijana ndio maana siijui.Tarehe 14
Una low self esteem binti.Hakuna usijitete hata sisi tunapendwagwa tu ila jana ilikuwa ndio uthibitisho ukiona haujadhibitiwa ogopa unaishi kwa mawazo sio kwa kujiamini yaani hata dada ako hawezi kusema bro happy valentine njoo untwe kabia unagundu
Unajielezea ila ukweli umebaki pale umeumia tu wenzako.wanaifurahiaHeka heka za valentine day ni za kuwaachia nyie wanawake. Kwa mwanaume tena wa kiafrika kuwa na mzuka wa valentine haipendezi.
Mimi jana siku nzima hata nyumbani sijatoka. Nilijifungia kwenye chumba cha ofisi ya nyumbani kufanya kazi ya mteja wangu. Alinipa financial report ya kampuni yake kwa mwaka mzima nimfanyie kazi ya kuchunguza mianya pesa inapotelea wapi.
Na wife nikamwambia kabisa sitaki usumbufu akiingia ofisini iwe ni kuniita chakula au kunipa taarifa ya muhimu sana
Uongoo huna helaMkuu watu wapo bize na maisha,hawajui nini maana ya valentine kila siku wao ni kupeana upendo tu ohoooooh
HUna partnerUna low self esteem binti.
Kuna watu hayo mambo sijui ya birthdate, valentine, xmass, eid nk ni just normal days.
As long as natimiza wajibu wangu sioni haja ya kuanza kuhangaika na hayo ma sikukuu ya kizungu yasiyo na kichwa wala miguu.
Ulitoroka jela mbona titanic ya kitambo sana?Mimi jana mwaya nilikuwa nimelala nawatch movie ya titanic mwishowe starring wakiume akafa wakike akabaki .
Na mandevu yangu haya huku bili za familia zinaniangalia, kule vijana wangu inabidi niwalipe mishahara kila mwezi, eti niipe umuhimu wish ya valentine day kweli.! Be serious madam.Unajielezea ila ukweli umebaki pale umeumia tu wenzako.wanaifurahia