Mkuu kuna mambo yanaumiza sana!😃😄😁😁😁
Vibaya mno jana kuna wengine wameukosa utamu aiseeMkuu kuna mambo yanaumiza sana!
Wameukosa kwa makusudi kabisa au kuna kitu hawakutoa?😅Vibaya mno jana kuna wengine wameukosa utamu aisee
Inaumiza sana😁😄😄😄😆Wameukosa kwa makusudi kabisa au kuna kitu hawakutoa?😅
Pole mkuu!Inaumiza sana😁😄😄😄😆
Na hili joto la daslamu limechangia sana aisee😄😁Pole mkuu!
Jua linawaka kiwaki🥵Na hili joto la daslamu limechangia sana aisee😄😁
Unakutana nazo ndani tu ukitoka nje unapata joto ya jiweJua linawaka kiwaki🥵
Lakini ac si zipo mkuu🤔
Tusemeni ukweli eti una mpenzi halafu jana hajakutext wala hajakukumbuka kwa lolote .
ILIKUUMA pasuka tu pah na useme kwenye huu uzi uliumiaje?? Ili hata uishi kwa amani.
Yaani kila mtu alikumbukwa kasoro wewe utakuwa wewe ni wakupita hata haupo kwenye steji ya mchepuko.
Jana ilikuwaje hebu tujuze .
Nipo hapa naipata! Yani utasema niko kwenye chungu napikwa! Imagine niko garage🥵Unakutana nazo ndani tu ukitoka nje unapata joto ya jiwe
Pole sana mimi nilikuwa maeneo ya sinza mida ya saa 5 to saa 6 hivi joto kali sio powaNipo hapa naipata! Yani utasema niko kwenye chungu napikwa! Imagine niko garage za ilala🥵
Uzi wa wapenda nao aka valentine dayUtoto raha sana,
Japo sijaelewa huu Uzi unahusu nini.
Watoto wanaelewa!Utoto raha sana,
Japo sijaelewa huu Uzi unahusu nini.
Ilikua lini mkuu?Uzi wa wapenda nao aka valentine day
Tarehe 14Ilikua lini mkuu?
Jua la dar sio powa aisee linachoma hadi kichwani ikifika jioni vichwa vinawaka moto vibaya sana