IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
MBONA HUMU JAMVINI PROPOGANDA NI KUKUBLI DR SLAA KASHINDWA WAKATI CHANNEL 10 WAMEZUIWA KUTANGAZA MOJA KWA MOJA KAMA WALIVYOANZA KUFANYA MWANZO NA TREND IKAANZA KULETA MATUMAINI CHADEMA? MBONA TUME IMEKATAZA MAJIMBONI YASITANGAZWE MATOKEO YA URAIS? MBONA WATU WAMEANZA KUKAMATWA NA KURA ZA WIZI HUKO MITAANI? kURA HIZI ZA WIZI ZIMETOKA WAPI? MBONA KATIKA MAENEO MENGI YA UPINZANI VING'AMUZI VINAKUWA NA KIGUGUMIZI NA SEHEMU WANAZOSHINDA CCM MITANDAO INAWAHI? KUNA MENGI YA KUJIULIZA KABLA YA KUKIMBILIA CONCLUSION. KATIKA SCIENCE CONCLUSION NI HATUA YA MWISHO SIO YA MWANZO AU KATIKATI. UNLESS MNATAKA NASI TUCHAKACHUE KAMA REDET NA SYNONOVET
2015 kuna haja tukisimamishe chama kimoja tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Na asiyetaka atakuwa mwana CCM
Joining hands is the only way to uproot CCM
Naona humu Jamvini kuna watu waliojichomeka kuendeleza Propaganda kuwa DR Silaa Atashindwa!!!. This is another Psychological warfare from CCM Preparing people to accept cooked Results.....Hatudanganyiki Ng'oooooooooooo!!
Hatukubali Mpaka Kieleweke!!
Nanaedhani JK atashinda amepata wapi data wakati matokeo hayajatangazwa???
Kwani ataesema Dr Slaa kashinda atakuwa kapata wapi data wakati matokeo hayajatangazwa?
Basi waache Propaganda. Waendelea kushiriki katika kulinda Matokeo yasichakachuliwe vituoni na kuendelea kuishinikiza Tume Itangaze matokeo sehemu ambazo haijatanaza.
Lakini nafikiri mtoa hoja ameangalia kwenye maeneo yote kabla hajatoa hoja yake. Mie nasema, tukubali tu kuwa Slaa ameshinda. Ameshinda, sio kwa kuwa rais lakini kwa kuleta mabadiliko makubwa ambayo hayajapata kutokea katika historia ya nchi hii tokea ipate uhuru wake miaka hamsini na ushee iliyopita. Wananchi wamefunguliwa macho na masikio na wameuona uovu wa CCM. Watanzania wanahitaji muda wa kusoma sura ya mchezo kabla hawajafanya a complete change of regime. Wengi wetu huwa tunaogopa mabadiliko. Lakini kama kuna kundi litaleta mabadiliko, na mabadiliko hayo yakaonekana yana maana, basi wengi watahamia kwenye kundi la mabadiliko. Kama wabunge wetu wapya wa Chadema watafanya kazi yao ipasavyo, basi Tanzania ya mwaka 2015 itakuwa ni Tanzania tofauti.
Lakini nafikiri mtoa hoja ameangalia kwenye maeneo yote kabla hajatoa hoja yake. Mie nasema, tukubali tu kuwa Slaa ameshinda. Ameshinda, sio kwa kuwa rais lakini kwa kuleta mabadiliko makubwa ambayo hayajapata kutokea katika historia ya nchi hii tokea ipate uhuru wake miaka hamsini na ushee iliyopita. Wananchi wamefunguliwa macho na masikio na wameuona uovu wa CCM. Watanzania wanahitaji muda wa kusoma sura ya mchezo kabla hawajafanya a complete change of regime. Wengi wetu huwa tunaogopa mabadiliko. Lakini kama kuna kundi litaleta mabadiliko, na mabadiliko hayo yakaonekana yana maana, basi wengi watahamia kwenye kundi la mabadiliko. Kama wabunge wetu wapya wa Chadema watafanya kazi yao ipasavyo, basi Tanzania ya mwaka 2015 itakuwa ni Tanzania tofauti.