Ladymasa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 877
- 335
Halafu nyie mbona mnakaribishana sana?
Kwan ni vibaya lol!
Halafu nyie mbona mnakaribishana sana?
Aisee kwa kweli njoo tu. Ila utalala usingizi wako au wangu.
Wakuu salama humu? Kama Mungu kakupitisha salama kwenye sikukuu hii basi mshukuru.
Jana ilikuwa boxing day..kama hukupata cha kufungua basi bila shaka ulifungua mlango au dirisha kama mimi.
Back to topic..nimewamiss sana humu mjengoni. Nimekuja na zawadi kadhaa hapa..japo sikukuu imepita lakini sio mbaya ukajipatia boksi lako hapa. Hata hivyo ili msigombanie ngoja nitoe moja kwa wana budget wenzangu.. Hili hapaa.....(mwakani hakuna kununua calender..tumia ya 2003 au 1986....zinafanana na 2014...)
Mfikishie boksi hili mtu mmoja. Mimi naanza na Mamndenyi
Nilikumisi karibu.
nahisi Arushaone kaukumiss kawa wa kwanza kwenye uzi
usingizi wako........huo usingizi wa miez 3 mi unanigawia wa mwezi
Ndio tumemisiana sanaa.
Nakusubiria mwaya. Ngoja nifanye usafi kabisaa usitoke na mafua.
Habari yake kashaipata. Sasa tufanye yetu.
Mbona tayari.. Ila upande wako we ndio umechomoa wakati unatafuta simu.