Hata hamnimiss!!!

Hata hamnimiss!!!

Poa naja mapema leo jamani

Mi nishafika hapa kwenye duka la mangi..nimekunywa soda kwa pozi hadi imeisha. Sasa nimeagiza maji makubwa. Nayo yakiiisha si watanitimua..!!
 
Mi nishafika hapa kwenye duka la mangi..nimekunywa soda kwa pozi hadi imeisha. Sasa nimeagiza maji makubwa. Nayo yakiiisha si watanitimua..!!

Hapana waambie wakuvumilie kidogo halafu hapo kwa mangi namdai pesa yangu wee kunywa hata kinana
 
Hapana waambie wakuvumilie kidogo halafu hapo kwa mangi namdai pesa yangu wee kunywa hata kinana

Hiyo mi sinywagi bana. Labda nikuchukulie. Hebu sema ya baridi au ya moto?
 
Hiyo mi sinywagi bana. Labda nikuchukulie. Hebu sema ya baridi au ya moto?

Nletee kwanza ya barid yamoto iendelee kupata barid ww endelea kunywa maj sawa halahala kukojoa kitandan lakin jitahid kustahimili maj kidogo naongopa utakojoa kwa kitanda twafwazali
 
Nletee kwanza ya barid yamoto iendelee kupata barid ww endelea kunywa maj sawa halahala kukojoa kitandan lakin jitahid kustahimili maj kidogo naongopa utakojoa kwa kitanda twafwazali

Mi sikojoagi kitandani bana. Nakojoaga kule kule unaponihimazaga..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom