Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,812
- 8,658
Watu walio kuwa wanaidharau bible kuna baadhi ya watu wameanza kusoma ufunuo upyaa coz wameanza kujionea mambo. huku bongo bado makanisa yanayofunguliwa huko nchi za wenzetu dunia si salama sasa. serikali yoyote haitaki mtu wa kuwasumbuakwaiyo kuna kaukweli gwajima anaongea kuhusu chip